Recent content by Dreadnought

  1. Dreadnought

    🔥 LAPTOP INAUZWA – BEI POA SANA! 💻

    Hiyo disk ingekuwa SSD mambo yangekuwa mazuri zaidi
  2. Dreadnought

    Hizi nyimbo 2 za Bongo Fleva zilikuwa mbele sana ya wakati: "Nang'atuka" na "Nini Chanzo"

    Nang'atuka ilikuwa muendelezo au niseme final, Ilianza ndio mzee jamaa akiomba kura na ahadi kama zote, Kisha kikao cha dharura
  3. Dreadnought

    Hamas wanataka kutema Bungo. Wasikubali waendelee kuwashikilia mateka tupo pamoja nao

    Kwa hiyo wataka kusema yote ni sawa kwamba watoe mateka au wasitoe mauaji yataendelea?
  4. Dreadnought

    Hamas wanataka kutema Bungo. Wasikubali waendelee kuwashikilia mateka tupo pamoja nao

    Hata kama ni itikadi au common cause waliyonayo hamas binafsi sidhani kama ni sahihi kuacha maelfu wakifa na wengine waki starve to death kisa mateka hao wachache wa Israel. Kwamba thamani ya hao mateka wachache wa Israel ni sawa na maelfu wanaokufa?
  5. Dreadnought

    Kituo cha Discovery Channel kimebadilika kutoka Elimu hadi Burudani za kuhadaa

    Mambo hubadilika siku hizi nimehamia national geographic angalau kidogo kuna vitu
  6. Dreadnought

    Eti kuchambua sentensi kwa njia ya matawi ikupe hivi vitu sahau

    Not wastage of time, bado msomi ni msomi tu ila kubwa tajiri mkubwa at the same time msomi sio rahisi labda uwe mwanasiasa (kiafrika)
  7. Dreadnought

    Msaada wa Apps za kuangalia game za England kwa ku-cast na TV

    Au simu yako haina wireless display?
  8. Dreadnought

    Eti kuchambua sentensi kwa njia ya matawi ikupe hivi vitu sahau

    Vizuri umetambua hilo. Utajiri wa namna hiyo hauna uhusiano na usomi.
  9. Dreadnought

    Eti kuchambua sentensi kwa njia ya matawi ikupe hivi vitu sahau

    Kwa hiyo ukisoma Calculus Organic chemistry n.k Ndio utapa hizo buggati?
  10. Dreadnought

    Msaada wa Apps za kuangalia game za England kwa ku-cast na TV

    Ukifanya screen sharing moja kwa moja je?
  11. Dreadnought

    Kila siku nakaa natafakari matendo na vitendo vya mtu mweusi unabaki unajiuliza hawa viumbe akili zao ziko wapi?

    Kwa nini utumie nafsi ya tatu, unajiengua wewe utadhani wewe si mweusi, au mwenzetu ni Caucasian?
Back
Top Bottom