Umeongea kama mwanaume.
Hii mambo sijui ya kutaka kushea na mwanamke ndo inaleta shida kwenye ndoa nyingi sasa hivi. Ile dhana ya mwanaume kuwa mmiliki na kiongozi inapotea sana kwa mawazo kama ya mleta mada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.