Recent content by Dreadnought

  1. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Mary J. Blige: Usaliti na Mtego wa Fedha

    Nani huyo au D.R.E
  2. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Mary J. Blige: Usaliti na Mtego wa Fedha

    Nakumbuka family affair, bonge moja la beat
  3. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Samalerah amepiga bonge moja la show
  4. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Wamerudishwa lini? Huwa sifuatilii siku nyingine isipokuwa jumapili
  5. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Kumbe karudishwa, afadhali alikuwa anatoa burudani sana Joshua naye arudi
  6. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Majigambo ndo yame mtoa? Kati yake na sherida nani alikuwa bora?
  7. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Samarelah alikuwa na shida gani mkuu
  8. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Joshua mkongo na Samarelah hawakustahili kutoka
  9. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyofilisika na kupoteza Tsh Milioni 25 kupitia kamari ya Aviator

    Kuna kitu kinaitwa sunk cost fallacy, lile wazo la kurudisha ulichopoteza ndo kinatugharimu wengi. Aviator huwa nacheza buku tu mia mia kujifurahisha.
  10. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search Season 16 Special Thread

    Ila yule bonge mkongo ni hatari
  11. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Nasumubuliwa na tatizo la GERD / Acid reflux

    Kama vidongo hivgi ni maisha yote, bora kumanage tu tatizo kwa kubadili mfumo wa maisha
  12. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Nasumubuliwa na tatizo la GERD / Acid reflux

    Moja wapo ya makatazo ukiwa na GERD ni mafuta, sasa hapo inakuwaje mkuu
  13. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Nasumubuliwa na tatizo la GERD / Acid reflux

    Huo mmea utaenda kukaza LES, (lower esphageal sphincter) ilolegea?
  14. Dreadnought

    JamiiForums Tanzania Nasumubuliwa na tatizo la GERD / Acid reflux

    Amoxycilin na GERD? inakuwaje hapo mkuu naomba ufafanuzi. Nina hiyo shida toka 2024, nilibadili tu mfumo wa maisha dawa sikutumia japo nilipewa
Back
Top Bottom