Hata kama ni itikadi au common cause waliyonayo hamas binafsi sidhani kama ni sahihi kuacha maelfu wakifa na wengine waki starve to death kisa mateka hao wachache wa Israel.
Kwamba thamani ya hao mateka wachache wa Israel ni sawa na maelfu wanaokufa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.