Recent content by Drat

  1. Drat

    Chimbo la Unyunyu, Utuli, Manukato na Uvumba. Nimechoka kutakwa na Mademu nawashauri nanyi ....

    Ulimpa perfume gani kali, tuanzie hapo mkuu kabla hatujakuonyesha machimbo na kwa sasa "unavaa" perfume ganina ulinunua kwa bei gani? Tusije kukuelekeza za kupima, za kuchakachua n.k
  2. Drat

    Una miaka zaidi ya 65, unajenga nyumba ya nini?

    Ukifikisha huo umri nadhani utawaa hizi nyumba niwaachie, aah bora niuze mbili nizitafune taratibu wakati naendelea kusogeza siku za kwenda kwa muumba. Na swala lu kutafakari mambo yaliyopita na yajayo ni utashi wa mtu na alivyokuwa conditioned. Babuu Kisauji anakula raha na umri kama huo...
  3. Drat

    Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

    mpaka leo na maongezi yote haya duniani kwa msaada wa utandawazi naona unaweza kuona hata huko ulaya na marekani mambo haya yanasemwa. Pitia ya Bondia Garcia na Bohemian stuffs, Israel wanavyosimangwa kuhusu child sacrifice e.t.c Au kama unabisha ingia field tena deep mwenyewe uone nyoka...
  4. Drat

    Bara la Afrika bado lina vyama vya upinzani vinavyoona mzungu ni Mungu wao huku ni kuudhalilisha Uafrika

    Ebanaee unatafutia watu matatizo, tumeshiriki uchaguzi kama wasimamizi, na ndugu zet ambao hawana haja ya kutudanganya wamesimamia tangu time ya Mremba. I AM NOT BLUFFIN, I PARTICIPATED AND OBSERVED, sasa sijui unataka niamini habari zako au experience yangu?! We kama unanufaifa endelea...
  5. Drat

    Bara la Afrika bado lina vyama vya upinzani vinavyoona mzungu ni Mungu wao huku ni kuudhalilisha Uafrika

    Mkuu labda kama haya maneno yana maana tofauti na ninavyoyajua, maneno haya "chaguzi zote zinafanyika kwa uhuru, uwazi na haki kwa wote". Sio kwa chuki lakini kwa kushuhudia na kwa kushiriki napingana na hili. Pia kidogo naona ulienda nje na mjadala. Sasa ni bora kama tunaona inafaa tu switch...
  6. Drat

    Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Tumia kama jiwe la kukanyagia ufanye mambo mengine, katika ajira unachagua kutafuta kupanda cheo au kuhamia kwingine. Ila kama unataka kutoboa, jambo ambalo lina maana tofauti kwa kila mtu inabidi ufanye jambo la ziada. Kama kutoboa inamaanisha kuwa na uwezo mzuri wa kifedha au kutajirika...
  7. Drat

    Kuongea kwa kuchanganya lugha kiswahili na Kiingereza, ni usomi au ujanja?

    Ni sawa na sio sawa. Kwa harak haraka mkuu Artificial Intelligence kuiita akili mnemba inataka mazoea. Sababu hata nikiambiwa tunga sentensi mbili kwa kutumia neno mnemba, sijui vizuri maana ya mneba. Inawezekana mtu alikosa msamiati, au hana uwezo wa kulielezea suala hilo kwa kiswahili. kingie...
  8. Drat

    FALSE Picha: Benjamin Netanyahu kwisha habari yake!

    Na wewe Mu_iran wa Tanzania unasemaje? Ndio Yesu ni mteule kwa mujibu wa Ukristo Dini zinataka kuvumiliana mkuu katika nchi kama zetu. Unajua katika hali ya kawaida kukukubali kitabu ambacho kimekuja MIAKA MIA SITA baada ya Yesu kufa, TENA KIKIKUSANYWA KWA NYAKATI TOFAUTI NA WATU TOFAUTI...
  9. Drat

    Bara la Afrika bado lina vyama vya upinzani vinavyoona mzungu ni Mungu wao huku ni kuudhalilisha Uafrika

    Chadema kuwa na alliance na vyama vingine vya upinzani duniani na kuamua kuwa na legal advisor mzungu anakuwa kibaraka? Lissu yuko jela, nani ulitaka achaguliwe katika mazingiria kama hayo na akubali kufanya kazi inavyotakiwa?
  10. Drat

    Bara la Afrika bado lina vyama vya upinzani vinavyoona mzungu ni Mungu wao huku ni kuudhalilisha Uafrika

    Thibitisha, ili tuone huo msingi wa kusema hivyo kisha tuangalie na chama chetu cha tawala kinamwabudu nani? Tusijitoe akili kwa sababu za kutaka kuridhisha mioyo yetu kwa kulazimisha mambo, hii ni sawa kabisa na ushetani. Kama mtu anazingatia morals and principles hawezi fanya hivyo. Mimi...
  11. Drat

    Bara la Afrika bado lina vyama vya upinzani vinavyoona mzungu ni Mungu wao huku ni kuudhalilisha Uafrika

    Ona sasa na wewe na ubatizo wako wa makaa ya mawe, umenibatiza Genius, Na kunipa Miungu. Na hapo hapo unaleta habari za Gen X. Hii ni sawa na pilau kuongezewa unga wa ugali. Kweli vyote ni vyakula lakini havileti matokeo mazuri. Okay hao Wazungu kuuana wao kwa wao ina justify na nyinyi weusi...
  12. Drat

    Bara la Afrika bado lina vyama vya upinzani vinavyoona mzungu ni Mungu wao huku ni kuudhalilisha Uafrika

    Haukuniambia nijibu. Okay, huyo jamaa alimwagiwa risasi na sasa ameshikiliwa. Je anakosea kuchukua tahadhari kwa kizazi chake. Watu wangapi wanapotea kwa kuchukuliwa na wezi wa roho za watu ambao hata serikali imeshindwa kuwapata? Au ndio nyie mnatumika kama Agent Provocateur, mjibiwe kisa...
  13. Drat

    Bara la Afrika bado lina vyama vya upinzani vinavyoona mzungu ni Mungu wao huku ni kuudhalilisha Uafrika

    Fikiria kwa kina, hii nyepesi sana. Hata kuijibu mtu unajiskia mithili ya kulazimika kuoga barazani nje mchana. Sidhani kama kuna udhalilishaji mkubwa wa uafrika kama kuuwawa kwa mwafrika na mwafrika mwenzake kwa sababu ya kusema ukweli na kutaka mgawanyo mzuri wa keki ya wote. Umepuyanga sana
  14. Drat

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Ni kweli unachosema sipingi kuhusu Roman nao pia waliwaua Jews kwao, kuna sehemu nimegusia kuwa tuwaache Jews ktk haki zao, watu waliwafata kwao. Mfano unakuta mtu anasema wauwawe na asilimia takribani 18 ya Jews ni waislamu pia
  15. Drat

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Acheni hizo bana dini yenu historia inaonyesha uchinjaji wa kulazimisha watu. Ipo wazi kabisa Wayahudi Jerusalem ni yao, uislam uli force pale, wakaja waroma waka force kuwaondoa waislam akaja Ottoman na fujo zake. Watu wakajua Jews wamekata moto, kumbe wapo wanaangalia namna ya kuji restore...
Back
Top Bottom