Recent content by Drat

  1. Drat

    JamiiForums Tanzania Tusiwe wepesi wa kusahau, utekaji aliuanzisha Magufuli kwa kumteka Ben SaaNane. He is the one to blame na Mungu amhukumu kwa hilo

    Huu ni utaratibu waa CCM, tunakumbuka alichofanywa Dr mmoja wa Muhimbili, baada ya kuendesha mgomo wa madaktari, akapona kimaajabu Mabwepande baada ya kutekwa na watu wasiojulikana. Pia kuua watu wanaoandamana, kuna mwandishi alipigwa bomu nadhani iringa, akawa nyama nyama, na kuacha mke mdogo...
  2. Drat

    JamiiForums Tanzania Mikoa hii haina vyuo vikuu kabisa wala mpango wa kuvijenga. Serikali iwajibike kuisaidia haraka

    Teh teh kuna miko ikitajwa unajua kwanini wanawacheleweshea mfano Kagera na Mara halafu utie nguvu katika kozi za law, political science and engineers. Tunajua kinachofanyika.
  3. Drat

    JamiiForums Tanzania Nahisi mikoa hii haijafanikiwa kutoa vijana maarufu kitaifa walio chini ya miaka 40

    Na Kukulia sehemu maana yake ni nini au miaka mingapi? Hapa umekuja na mpya tena ya kuzaliwa na kuishi huko. Haya former goal keeper wa utopolo Metacha Mnata, kiungo wa taifa starz zamani Baraka Gamba Majogoro Sio kwa ubaya ila eleza unachotafuta vizuri tukusaidie, pia eleza wewe unatokea...
  4. Drat

    JamiiForums Tanzania Jinsi Ya Kumshawishi mtu afanye kitu unachokitaka kwenye Matangazo Yako, ujumbe wako nk kwa kutumia maneno haya matano

    Nadhani kaachukua kua kutoka katika kiingereza neno YOU ambalo kwetu sidhani kama WEWE inaleta uzito wa aina moja. Lakini kwa huku bora usitumie wewe na utumie neno ambalo linamaanisha yeye mteje, mfano UTAPATA, UTAWEZA, UTAKWENDA...ili u sound natural. Wewe ni neno kwetu limekaa kama...
  5. Drat

    JamiiForums Tanzania Jinsi Ya Kumshawishi mtu afanye kitu unachokitaka kwenye Matangazo Yako, ujumbe wako nk kwa kutumia maneno haya matano

    Wewe n mvivu, anza sasa kuandika uzi ulioshiba na kufafanua zaidi hata kwa kutoa mifano ya Matangazo maarufu. Sawa wewe.
  6. Drat

    JamiiForums Tanzania Hivi kumbe wachaga wa machame na marangu na wakurya ni ndugu?

    Hawaelewani vipi? Hakujawahi kuwa na uhasamaau vita kama vita,labda tofauti za kawaida tu. Kama za Mwarabu wa Tandika kuogopa kukaribina sana na Mdengereko, lakini wanaweza kuoana
  7. Drat

    JamiiForums Tanzania Nahisi mikoa hii haijafanikiwa kutoa vijana maarufu kitaifa walio chini ya miaka 40

    Oyaa hivi unajua jiografia ya nchi na je uko intact na mambo. Unataka vijana maarufu kitaifa, ungetoa na mfano wa umaarufu upi au katika sekta ipi? Na unataka wa kuzaliwa au asili We move with discipline and silence for a reason. Na umaarufu unaoutaka ni wa vitu laini kama sanaa na burudani...
  8. Drat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtu umemuoa afu anakupikia vyakula vya banda la chipsi

    Teh teh teh, mwambi mkeo unataka chakula gani...., kama yeye atakula chips sawa. We unataka makande ya mahindi ma bichi, mwambie. Halafu acaha tabia ya kumsimanga mkeo hata kama hakuoni huku. Hiyo itajitokeza physically. Kisha utaanza kum treat vibaya, halafu wakora watakuwa faraja kwake, na...
  9. Drat

    JamiiForums Tanzania Swali fupi : Ukiacha ualimu, ni taaluma gani huwezi kumruhusu mwanao asomee ?

    Dah niliona sehemu huyu mtu anaongelea, kaandika nusu nusu kuhusu biashara ya urembo wa pikipiki, kaandika nusu nusu. Nikaona ngoja nicheki post zake labda kuna sehemu kaandika zaidi nakutana na hii. Nchi inasikitisha sana hii
  10. Drat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kisa changu cha Sinza

    Usimdogoshe kasi yake ni kubwa, Kuna raia 30 to 40+ in Dar born"hiya hiya"ila hizo mishe za ki underworld hawajahi wanaskia na kupitia mbali kabisa na kwa hofu, na ndio wengi. Suala la ununuzi wa papuchi sio la kila mtu mjomba, nayo ni hobby. Savage shit hizo. Na kwamujibu wa story yake jamaa...
  11. Drat

    JamiiForums Tanzania Haya mambo ya uchawi yapo kweli au ni tatizo la watu kukosa elimu na kuamini mazingaombwe ? kila nikiomba ushahidi ni stori za vijiweni bila ushahidi

    Akikuhadithia ndio utakuwa umethibitisha, au utaanza tena kukataa story yake. Na mtu kagusia kasoma mambo ya ethnography. Na huko huwa kuna debate. Cha ajabu unaweza kuta unakubali Mungu yupo. Kama unaamini Mungu yupo, then kuna shetani basi jua na uchawi upo. Na hata kama haumini kuhusu Mungu...
  12. Drat

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa kikurya ni nomaa

    Wewe hauwajui wakurya na unaongelea events chache au za eneo ulilokaa nao, wakiwa hawapo katika zone yao. Kwa kifupi umeshibishwa propaganda za chuki. Mkurya atembee na mjomba wake, hizo ni rare cases na adhabu ni kubwa. Aisee hizo labda unaongelea cases za generation hizi za wazaliwa wa 2005...
  13. Drat

    JamiiForums Tanzania Yajue mambo mazuri ya wakurya ambayo ulikuwa huyafahamu

    Vipi yule jamaa sio mkurya aliemuua mke wake Kigamboni na kumchoma na gunia mbili za mkaa? ULishuhulika na kabila lake. Vipi hapa Dar es salaam watu wanavyokufa au kulemazwa wakiibiwa simu au pikipiki huwa wanaotekeleza hayo ni wakuria. Inawezekana we ni dogo, wachuna ngozi mbeya na wapiga...
  14. Drat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnaopenda kulambwa mnatukosea sana

    Ni vibaya kuinyonya? Kama safi na inavutia. Haitishi kama ya yule dada wa chuo.
  15. Drat

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimekuwa addicted na tadalafi (Viagra) kwa muda mrefu

    Una kilo ngapi kwanza mkuu? Pili piga chini misosi yenye acid sana na mafuta kibao, usifuge stress. Nenda kinyume na formula au maisha ya mazoea, umri huo kula milo miwili tu, asubuhi isivuke saa nne na jioni kabla ya saa moja au mbili inatosha. Kunywa maji klingana na kilo zako, au ukiskia...
Back
Top Bottom