Recent content by Drat

  1. Drat

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Mbiki Msumi?

    Ma miss wa ukweli walikuwa hawa, baada ya mambo wakapiga shule na mambo ya maana,kuna yule Mercy Galabawa dah japo hakushinda taji. Halafu kuna lile troop lilileta kina Wema, Aunt Ezekiel,Irene,Uwoya...yani ma beutiful with nnya in the head hahaha,wakafanya tukawa tunaona Miss Tanzania ni Sokta...
  2. Drat

    JamiiForums Tanzania Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Kasema alimsomesha? Au alimpa moyo asiridhike aongeze shule? Teh teh. Kwa hiyo huyu jamaa alipata fedha ukweni
  3. Drat

    JamiiForums Tanzania Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)

    Vipi bado hii businessmodelinafanya kazi? katika zama hizi za mawinga wengi?
  4. Drat

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Songea inaenda kukua kwa kasi kiuchumi. Wawekezaji, fursa ndio hii

    Miaka miwili ni michache sana kukuza mji kwa kiwango ambacho jamaa anasema, weka kumi. Ila kama una mtaji uataka kuangalia fursa sawa. Jamaa hata hiyo miaka miwili kaitoa kichwani tu kama ya kwangu 10. Angetupa walau makusanyo ya mapato kwa miaka mitatu iliyopita, viwanda vinatarajiwa...
  5. Drat

    JamiiForums Tanzania PICHA: Lissu apelekewa Mihogo mikavu Mahakamani kama chakula cha mchana

    Huu ni wito, purpose of life...anatusaidia hata kama hatafikia lengo ila kuna standards ana set. Bila watu kama hawa duniani huenda leo tungekuwa tunalima katani,pamba kwa mijeledi. Huyu utamu wa mshahara na maisha alishapata sana, hapa anafurahia kazi anayoifanya, kupiga tochi katika giza...
  6. Drat

    JamiiForums Tanzania Kwanini China haiingilii kati kusaidia mataifa mengine yanapovamiwa na nchi za Magharibi?

    Unachanganya kitu kimoja U.S wako mbele sana kwa China, ila ni state ambayo ina bureaucracy nyingi hasa upande wa sheria katika almost kila kitu iwe technology mpaka chakula na hata mavi yaende wapi. hizo nchi nyingine ni za washenzi tu wanataka kuwahi mbio za uongozi. Kama leo inatokea vita za...
  7. Drat

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani anamuogopa Korea kaskazini kuliko Iran?

    Hana lolote, wakiamua kumchapa wanamchapa. mataifa ya itikadi mbovu kama North Korea, Iran, Russia yakiachiwa yatawale dunia tutaishi kwa tabu sana. Ni mataifa yanataka watu wawe NDIO MZEE, kufa na kunyongwa nje nje hata utakaposema jambo ambalo ni UKWELI. Kama huyo Kiduku atakuwa MWIZI, lile...
  8. Drat

    JamiiForums Tanzania Maisha ya shule za dini kiislamu

    MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA Nimehoji watu kumi wa kata moja sitoitaja huko Morogoro na kugundua wengi hawana maji safi na salama, na matumizi ya vyoo yako chini sana, kaya hazina vyoo watu hao wamesema huwa wanajisaidia vichakani. Najiuliza hivi watanzania nini kinawasibu mpaka mnakunya...
  9. Drat

    JamiiForums Tanzania Nyumba za kupanga, fremu za kisasa sio dili sasa yani kila mtu kawekeza huko

    Mkuu inategemea, kwa sasa, kupanga nyumba nzima au apartment inaweza kugharimu mpaka laki nane kwa mwezi, na watu bado wanataka kodi ya mwaka mzima na zinajaa. Kingine ardhi na eneo vinaenda vinapanda thamani, bora mtu kama anaweza ajenge tu. Kingine takwimu za kitaalamu zinaonyesha bado tuna...
  10. Drat

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa Iraq wa dola millioni 191 kwa Tanzania wazua mjadala mkubwa nchini Iraq

    Mh ukiona dhambi, ukashindwa kuikemea kwa sababu anaefanya ni baba au mama yako nyamaza tu. Sio kuanza kutafuta njia za kuhalalisha. Kama wewe kwa mfano, unamgonga mtoto wa jirani yako amabae ni under 18 kwao kuna shida, halafu wazee wenzako tunagundua na kukuhoji unatujibu huwa namsaidia mambo...
  11. Drat

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa Iraq wa dola millioni 191 kwa Tanzania wazua mjadala mkubwa nchini Iraq

    Kwa kupunguzia tu, wananci hatuelewi hizo pesa zinapeleka maendeleo wapi? Mbona tabu zinaongezeka? Ubadhirifu ni mkubwa sana
  12. Drat

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa Iraq wa dola millioni 191 kwa Tanzania wazua mjadala mkubwa nchini Iraq

    Na unaweza kukopeshwa kwa sababu labda mnataka kupiga dili tu, kisha wakaumia wengine. ndio sababu wenye nchi yao Iraq wakashangaa kuwa wana hali ya sintofahamu vipi tena mnawakopesha Watanzania.
  13. Drat

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wote waliokuwa wanataka kuvuruga Amani ya Taifa letu wamepoteza muelekeo na kusambaratika

    Vipi mkuu, umeshapata shavu, unaweka mpaka majina yako matatu ili uonekane. Mungu akipenda utafika tu. Ila una ujinga mwingi sana na unafki.
  14. Drat

    JamiiForums Tanzania Je, Taifa letu lipo kwenye hali ya hatari?

    Umeenda "Polepole". Mnatumwa tumwa....kauli za kinafki nafki. Kuna ugeni gani kuweka ulinzi au watu kuuwawa Tanzania?
  15. Drat

    JamiiForums Tanzania Maendeleo ya taifa hayakai Dar pekee

    Oya mpaka leo mada za kizembe hivi bado zipo? Na kuna sehemu umesema Dar ni kuchafu eh! Inaonyesha ni mada inaku irritate. Acha au punguza kupiga stori na mafala. Mafala wapo kote duniani, sio dar wala mikoani. Hata katika comment utaona wduanzi watakavyokufata kwa mtindo wa mashindano ya...
Back
Top Bottom