Ulimpa perfume gani kali, tuanzie hapo mkuu kabla hatujakuonyesha machimbo na kwa sasa "unavaa" perfume ganina ulinunua kwa bei gani?
Tusije kukuelekeza za kupima, za kuchakachua n.k
Ukifikisha huo umri nadhani utawaa hizi nyumba niwaachie, aah bora niuze mbili nizitafune taratibu wakati naendelea kusogeza siku za kwenda kwa muumba.
Na swala lu kutafakari mambo yaliyopita na yajayo ni utashi wa mtu na alivyokuwa conditioned. Babuu Kisauji anakula raha na umri kama huo...
mpaka leo na maongezi yote haya duniani kwa msaada wa utandawazi naona unaweza kuona hata huko ulaya na marekani mambo haya yanasemwa. Pitia ya Bondia Garcia na Bohemian stuffs, Israel wanavyosimangwa kuhusu child sacrifice e.t.c Au kama unabisha ingia field tena deep mwenyewe uone nyoka...
Ebanaee unatafutia watu matatizo, tumeshiriki uchaguzi kama wasimamizi, na ndugu zet ambao hawana haja ya kutudanganya wamesimamia tangu time ya Mremba. I AM NOT BLUFFIN, I PARTICIPATED AND OBSERVED, sasa sijui unataka niamini habari zako au experience yangu?!
We kama unanufaifa endelea...
Mkuu labda kama haya maneno yana maana tofauti na ninavyoyajua, maneno haya "chaguzi zote zinafanyika kwa uhuru, uwazi na haki kwa wote".
Sio kwa chuki lakini kwa kushuhudia na kwa kushiriki napingana na hili.
Pia kidogo naona ulienda nje na mjadala. Sasa ni bora kama tunaona inafaa tu switch...
Tumia kama jiwe la kukanyagia ufanye mambo mengine, katika ajira unachagua kutafuta kupanda cheo au kuhamia kwingine.
Ila kama unataka kutoboa, jambo ambalo lina maana tofauti kwa kila mtu inabidi ufanye jambo la ziada. Kama kutoboa inamaanisha kuwa na uwezo mzuri wa kifedha au kutajirika...
Ni sawa na sio sawa. Kwa harak haraka mkuu Artificial Intelligence kuiita akili mnemba inataka mazoea. Sababu hata nikiambiwa tunga sentensi mbili kwa kutumia neno mnemba, sijui vizuri maana ya mneba.
Inawezekana mtu alikosa msamiati, au hana uwezo wa kulielezea suala hilo kwa kiswahili. kingie...
Na wewe Mu_iran wa Tanzania unasemaje? Ndio Yesu ni mteule kwa mujibu wa Ukristo
Dini zinataka kuvumiliana mkuu katika nchi kama zetu.
Unajua katika hali ya kawaida kukukubali kitabu ambacho kimekuja MIAKA MIA SITA baada ya Yesu kufa, TENA KIKIKUSANYWA KWA NYAKATI TOFAUTI NA WATU TOFAUTI...
Chadema kuwa na alliance na vyama vingine vya upinzani duniani na kuamua kuwa na legal advisor mzungu anakuwa kibaraka?
Lissu yuko jela, nani ulitaka achaguliwe katika mazingiria kama hayo na akubali kufanya kazi inavyotakiwa?
Thibitisha, ili tuone huo msingi wa kusema hivyo kisha tuangalie na chama chetu cha tawala kinamwabudu nani? Tusijitoe akili kwa sababu za kutaka kuridhisha mioyo yetu kwa kulazimisha mambo, hii ni sawa kabisa na ushetani.
Kama mtu anazingatia morals and principles hawezi fanya hivyo. Mimi...
Ona sasa na wewe na ubatizo wako wa makaa ya mawe, umenibatiza Genius, Na kunipa Miungu. Na hapo hapo unaleta habari za Gen X.
Hii ni sawa na pilau kuongezewa unga wa ugali. Kweli vyote ni vyakula lakini havileti matokeo mazuri. Okay hao Wazungu kuuana wao kwa wao ina justify na nyinyi weusi...
Haukuniambia nijibu.
Okay, huyo jamaa alimwagiwa risasi na sasa ameshikiliwa. Je anakosea kuchukua tahadhari kwa kizazi chake. Watu wangapi wanapotea kwa kuchukuliwa na wezi wa roho za watu ambao hata serikali imeshindwa kuwapata?
Au ndio nyie mnatumika kama Agent Provocateur, mjibiwe kisa...
Fikiria kwa kina, hii nyepesi sana. Hata kuijibu mtu unajiskia mithili ya kulazimika kuoga barazani nje mchana.
Sidhani kama kuna udhalilishaji mkubwa wa uafrika kama kuuwawa kwa mwafrika na mwafrika mwenzake kwa sababu ya kusema ukweli na kutaka mgawanyo mzuri wa keki ya wote.
Umepuyanga sana
Ni kweli unachosema sipingi kuhusu Roman nao pia waliwaua Jews kwao, kuna sehemu nimegusia kuwa tuwaache Jews ktk haki zao, watu waliwafata kwao. Mfano unakuta mtu anasema wauwawe na asilimia takribani 18 ya Jews ni waislamu pia
Acheni hizo bana dini yenu historia inaonyesha uchinjaji wa kulazimisha watu.
Ipo wazi kabisa Wayahudi Jerusalem ni yao, uislam uli force pale, wakaja waroma waka force kuwaondoa waislam akaja Ottoman na fujo zake.
Watu wakajua Jews wamekata moto, kumbe wapo wanaangalia namna ya kuji restore...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.