Recent content by dragon chapter

  1. dragon chapter

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeshinda kituo cha polisi leo baada ya huyu mkaka (Bonge) Kuzimia wakati tunafanya tendo la ndoa

    Demiss [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  2. dragon chapter

    JamiiForums Tanzania Naibu Spika Dkt. Tulia afunguka mazito kuhusu matibabu ya Lissu, asema hakuna double standard ktk matibabu ya wabunge

    Juzi lema aliongea nn bungeni au lema so mbunge acha uzwazwa
  3. dragon chapter

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi kesi ya Musiba dhidi ya Lissu

    Jeshi la police ndo chombo kinachofanya kazi in behalf of gvt kulinda usalama wa watu na mali zao kwa hiyo dosari au upungufu fulani unapoonekana katika jeshi la police katika kutimiza wajibu lazima serikali ilaumiwe na ndo inapoibuka hoja ya kuruhusu wachunguzi wa kimataifa ila kuondoa mzizi wa...
  4. dragon chapter

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kushtakiwa Mahakama ya Kimataifa kutokana na mahojiano aliyofanya na BBC

    Naona asubuhi na mapema lissu kashindaaa coz watashindwa kumprove wrong
  5. dragon chapter

    JamiiForums Tanzania Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?

    Usije ukarudia kutumia makalio kufikiri!!!
  6. dragon chapter

    JamiiForums Tanzania Watanzania walioamua kwa makusudi kutompigia kura rais wetu mpendwa Mheshimiwa DK John Pombe Magufuli

    uzalendo hauna maana hiyo mkuu!!! Xaxa kama hadeserve unataka apigiwe kura ili iweje
  7. dragon chapter

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi Spurs atakavyomfunga Man City kesho, 16/12/2017

    Mbn hujachambua upande wa spurs !!! Mapema city anschukua point 3 muhimu kexhooo hata vijana wa jose walixemaaaa hv
  8. dragon chapter

    JamiiForums Tanzania Bunge na Serikali msikubali kumhudumia mtu aliyejifanya hahitaji msaada wenu

    tofautixha haki na msaada ww
  9. dragon chapter

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli na Museveni watoa tamko kulaani mahakama ya ICC kuichunguza Burundi

    Magufuli mwenyewe kuvuka boarder ya east africa hajawai xaxa na siasa za kimataifa wap na wap
  10. dragon chapter

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Official video: Diamond Platnumz Ft Morgan Heritage - Hallelujah

    Kwa kweli this z [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
  11. dragon chapter

    JamiiForums Tanzania Kwanini upinzani wetu umeshindwa kututetea badala yake wanatetea wakwepa kodi na mafisadi ya ACACIA?

    Accacia c amesema ni wanaume nan kakwambia ni wakwepa kodi???? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. dragon chapter

    JamiiForums Tanzania Usishangae;Fans wa Diamond walikuwa blood Fans wa Alikiba

    Ck zote adui wa adui zako ni rafiki yako!!!!!enermy of ur enermies z ur friend !!! Ndo anachofanyiwa mond Sent using Jamii Forums mobile app
  13. dragon chapter

    JamiiForums Tanzania Mchambuzi wa masuala ya uchochezi

    By Inciter-In-Chief. BAADHI YA WATU MAARUFU WALIOWAHI KUFUNGULIWA MASHTAKA YA UCHOCHEZI. (1) Namo tarehe 3 April Mwaka 33, Yesu Kristo alifunguliwa mashtaka matatu ya jinai na kati ya hayo moja ya shitka lilikuwa ni shitka la "uchochezi" kwenye ili tunaweza kufanya rejea katika Kitabu cha...
Back
Top Bottom