Recent content by dragon ball

  1. D

    Kuhusu course work na UE

    Nipo NIT. Nachukua Computer Science.
  2. D

    Kuhusu course work na UE

    Kwenye prospectus ya vyuo vingi vinasema ili ufanye UE unatakiwa uwe na course work ya 16/40 na ufaulu kwa ujumla ni 40/100. UE ili iwe 40%, unatakiwa upate 24/60. Ikiwa UE ipo chini ya 24 na mwanafunzi amefaulu kwa jumla juu ya 40%, watamuwekea supp sababu ya UE au atakuwa amefaulu?
  3. D

    Tume ya vyuo vikuu (TCU) yatoa ufafanuzi kuhusu alama za kudahiliwa vyuoni

    Waombe chuoni wakufanyie kadirio ili ifike 3.5.
  4. D

    Baraza la Mitihani latangaza Matokeo ya Kidato Cha Sita 2016

    Ingieni tovuti ya NECTA. Wameshaweka matokeo tayari.
  5. D

    Miezi 8 ya utawala, mbona hali haitengemai?

    Labda kukithiri kwa matumizi ya dola baadhi ya sehemu kama 'means of exchange' imechangia kwa kiasi fulani
  6. D

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Ninatatizo la kukojoa mara kwa mara ninapokunywa maji mengi kuanzia lita 1.5 na kuendelea kwa muda mrefu. Ila nikishiba na kushindilia maji inakuwa kawaida sana. Kinachonikera ile kwenda chooni mara kwa mara kwa dakika chache. Nahitaji maji ninayokunywa yakae mwilini. Ni tatizo la muda mrefu...
  7. D

    Dr. Ndalichako tunaomba uje utuondolee uozo wa chuo cha NIT

    Dr. Ndalichako tunaomba uje kuangalia uozo wa NIT kuanzia mfumo wa ratiba na mambo mengineyo. Mimi nitagusia kwenye suala la mikopo ndiyo inaathiri zaidi wanafunzi wengi wa NIT haswa mwaka wa kwanza. Sasa hivi tupo field chuo kinafunguliwa mwezi wa saba kwa semister ya pili. Wametusaini pesa...
  8. D

    NIT mmepeleka wapi mikopo ya wanafunzi

    Hiki chuo ni jibu. Wanatabia ya kuchelewesha mkopo na hata mkisaini wanatabia ya kuchelewesha kuingiza pesa hadi wiki mbili nakuendelea tofauti na vyuo vingine. Mamlaka husika inabidi washughulikie hii kero. Kuna michezo michafu nahisi inafanyika. Inawezekana pesa wanawekeza kwenye fixed account...
  9. D

    Natafuta nyimbo ya Alicom ya moyo

    Mwenye nyimbo ya Alicom ya moyo naomba anisaidie. Nimeitafuta kwenye youtube na kugoogle bila mafanikio.
  10. D

    Chuo cha NIT na utendaji mbovu

    Mkuu nimechagua kozi hii kwa kujikuta kuipenda programming language. Kuna video niliiona youtube wakiipigia promo kuhusu kujifunza Computer Programming huko USA. Wenzetu wana misingi mizuri kuanzia ngazi ya chini...
Back
Top Bottom