mimi hapa nawaza kuacha kazi leo nimepokea barua ya bodi ya mikopo naanza kukatwa mwezi huu 8%,,ukiangalia ni kama 9k,,sijui imekokotolewaje wakati ada ilikua laki nane miaka mitatu,,,nikiangalia nina mkopo wa bank,,nina makato ya paye,,nina makato ya tuico,,,hapa kweli sioni tena mwanga mbele inabidi nistaafu tu kabla ya umri wa ppf,,,nisaidieni jaman,,,