Recent content by Dr. PEACE

  1. D

    Mecury( zebaki) inahitajika kuna soko zuri limepatikana..!

    Tunapiga vita matumizi ya mercury kutokana na madhara makubwa yanayotokana na matumizi yake lakini bado watu wana-advertise kwa nguvu
  2. D

    Tanzania 'formally' isolated from EAC

    Ngoja tumalize mtihani wa katiba
  3. D

    Ni kwanini msomi fisrt class(Mwigulu) hakuweza kuhutubia hata wafunzi high school?

    Aliwaalika ndugu zake pale urafiki kwa kila mbwembwe hawakutokea kumsikiliza. Huko ughaibuni ingekuwaje?
  4. D

    Sina ufunguo wa Ikulu-Wasira; Mtikisiko mkubwa watarajiwa bungeni Dodoma

    Hahaaa. The Ghost of Lissu is haunting you. I wonder you you see him in your glass of water!
  5. D

    Zitto: Kwa hali niliyoiona Vijijini inabidi nitafakari upya kustaafu Ubunge

    Kama nguo vile teh.....teh! Leo Tshirt na jeans kesho kanzu bila ya ndani hahaaaa!
  6. D

    Wasanii wa mziki Tanzania kwa nini lakini? Tazama picha ya nyumba ya babake 20%

    At least one storey building. You can find one only at Bagamoyo old arab/german town or stone town in zanzibar. It is one of its kind hata mimi nisingemjengea nyingine hata ningekuwa bilionea. Kwasababu huyo mzee atakuwa alikuwa very proud na huo mjengo
  7. D

    Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

    Half an hour ago jamaa tuliyepoteana zaidi ya 10 yrs na kuonana wiki tatu zilizopita kanipigia simu eti kuna jamaa yake anataka kuoa hivyo tushirikiane ili kuongeza network.... Nimemshangaa sana kwani hata hiyo network na yeye haipo sasa sijui ndo anataka kuiactivate kwa style ya mchango kwa...
  8. D

    Mafuta ya Alizeti

    Salaam Mkuu! Mimi ni mzalishaji wa hayo mafuta hapa singida. Npe mchanganuo wako PM aina ya wateja wako, kiasi cha mafuta unachohitaji, bei ambayo wateja wako unawauzia kwa ujazo upi n.k. Tufanye biashara
  9. D

    Mtu ukikutana na simba au chui ghafla porini tahadhari ni ipi?

    Tahadhari ya msingi ni kuhakikisha hukutani nao
  10. D

    Maandamano ya Wapinzani ya Oktoba 10, 2013 yaahirishwa

    Amewaitia nini kama sio huo unafiki na uzandiki. Jk mwenyewe anamkubali kwa hoja zake ndio maana kagwaya kusaini. Adui haumsifii ndugu, unajifanya kumponda ili kuwafurahisha mamburula wako wasijekujiona wajinga halafu unachukua hoja za adui na kusonga mbele huku mamburula wako wakishangilia...
  11. D

    "Peoples Power"

    Hivi ingekuwa kama huyu mleta mada alivyotafakari kwa muda mrefu hiviangefikiri kidogo tu na kujiuliza kwanini JK anasafiri kila siku kwenda majuu lakini hajawahi hata siku moja kuambatana na wajumbe wa mitaa wa CCM. Akili zingine bwana aaah!
  12. D

    "Peoples Power"

    Kwa hiyo ulitaka waende ulaya chama kizima na wakereketwa wote..duh... Kweli akili timamu ni adimu sana siku hizi
  13. D

    Tofauti kati ya Uasherati na Uzinzi?

    uasherati ni yote yanayoambatana na uzinzi
  14. D

    Dr.Charles Kitima na wewe umenunuliwa?

    Heri mnafiki kuliko anayesema fulani mnafiki au muongo bila kuthibitisha uongo huo au unafiki huo. Daima onyesha uongo wa muongo kwa kueleza ukweli wa jambo lenyewe. La sivyo wewe utakuwa mwongo zaidi na dhambi yako itakuwa kubwa zaidi.
  15. D

    Ama kweli hii ndio Siasa a.k.a Demokrasia

    Hiyo ya kwanza na ya pili zina match kwa kila kitu. Nimezipenda
Back
Top Bottom