1- hukubaatisha ulivodai, aliombahatisha amempa mtoto, 2- ni kawaida kwa mwanamke kuonesha wanume kuwa hawapendi mambo mengi kabla hujamuo,,,,3 kuoa mtu ambae ana mtoto tiyari kuna maswali psychologically pande zote atakuwa anajihami coz tiyari ashaumizwa hapo awali