Recent content by Dr Mushi

  1. Dr Mushi

    Chezea muosha magari wewe

    Labda hajawahi sikia ile nyimbo za bongoooo dar es salaam! !!,,, utaliaaa. !, sijui nani kaimba?
  2. Dr Mushi

    Wanaume kuweni makini, wanawake wengine wanatumia dawa za mapenzi

    Ni kweli, kabisaa hao wanatangaza biashara za upotoshaji
  3. Dr Mushi

    Wafanyabiashara ndogondogo Ubungo wachoma daraja la Ubungo moto

    Hilo daraja ilijengwa kwa makuti?
  4. Dr Mushi

    Are there JF members from Singida?

    Hellow mambo niaje?
  5. Dr Mushi

    Kuna mwanamke nampenda ila ana mtoto

    1- hukubaatisha ulivodai, aliombahatisha amempa mtoto, 2- ni kawaida kwa mwanamke kuonesha wanume kuwa hawapendi mambo mengi kabla hujamuo,,,,3 kuoa mtu ambae ana mtoto tiyari kuna maswali psychologically pande zote atakuwa anajihami coz tiyari ashaumizwa hapo awali
  6. Dr Mushi

    Kutana na Raphael Tenthani - mtangazaji mchafu zaidi duniani

    Kumbe kafa tumkute wapi? Kichwa cha habari??
  7. Dr Mushi

    Timu ya taifa ya Wanawake ya Zanzibar imefungwa magoli 10 kwa 1 na Burundi

    KWA TABU SANA aise meku una bifu na mbavu zangu!!
  8. Dr Mushi

    Sipendi mwanamke anae niigizia

    Hiyo sio kuigiza, huo ni unifiki wa kimapenzi....
  9. Dr Mushi

    Kwani ni lazima kumbebeleza mwanamke?

    Mm nilidhani hua unabaka kumbe una uwezo wa kununua kahaba, .!!...1 - interaction yako na watu ina nipa waswasi-2 Kama unadhani kufanya kazi kwa bidii unaleta mafanikio katika maisha .,,,then badilisha perception yako against women waone kama maua mazuri utapata mke.3...soma vitabu sana...
  10. Dr Mushi

    Katuni ya Magu toka kenya

    Hahahahahahha
  11. Dr Mushi

    Wakinadada tuache kuomba hela, inawezekana?

    Hahahahah ....Its better for a man to be stingy with his money because he hustled for it than a woman to deny you a hole she did not drill.
  12. Dr Mushi

    Namuelewa sana huyu mdada

    Haaa, eti she is JUST 43...... una mingapi ,,,75 nn?
Back
Top Bottom