1- hukubaatisha ulivodai, aliombahatisha amempa mtoto, 2- ni kawaida kwa mwanamke kuonesha wanume kuwa hawapendi mambo mengi kabla hujamuo,,,,3 kuoa mtu ambae ana mtoto tiyari kuna maswali psychologically pande zote atakuwa anajihami coz tiyari ashaumizwa hapo awali
Mm nilidhani hua unabaka kumbe una uwezo wa kununua kahaba, .!!...1 - interaction yako na watu ina nipa waswasi-2
Kama unadhani kufanya kazi kwa bidii unaleta mafanikio katika maisha .,,,then badilisha perception yako against women waone kama maua mazuri utapata mke.3...soma vitabu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.