kwani unamficha nini?
ana uhuru na wewe na mume wake
sioni sababu ya kugombana kwa vitu vidogo
au wewe sio muaminifu?
kuwa muwazi kwake
ni ishara anakupenda sana
rudisha upendo
labda useme humpendi tena
Usije ukatafuta huyo unae,penda mwengine ukajuta..........................
Akakupandisha pressure ukajuta na maji kushayamwaga
jaribu kumwambia usivyopendelea
uzuri wa mwanamke sio sura ni tabia
watoto ni baba na mama
watuondee tu kwani kwani tatizo liko wapi? kama njaa hatujaanza sisi kulala njaa.............. kuna watanganyika wangapi wanalala na njaa na bado wapo. kula njaa is just a challenge BUT WE NEED OUR "ZANZIBAR".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.