bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,376
- 3,976
- Thread starter
- #21
La hasha! Ni bora vita kuliko kuendelea kuongozwa na chama kilichochoka hivi!
Wewe ni kijana wa 95 haujui nn vita.
La hasha! Ni bora vita kuliko kuendelea kuongozwa na chama kilichochoka hivi!
Kwa mfano tukisema tuchapane tutachapana baina ya nani na nani?
Tuanzie hapo
aisee hicho kichwa cha habari kilinishtua sana 'eti bora vita kuliko utawala wa ccm' nilikasema duu kweli wewe hata taarifa za habari huwa hauangalii.
Kwa ukweli vita za wenyewe kwa wenyewe hazifai hata kidogo mfano mzuri ni siera lione, liberia, sudan, rwanda na jirani zake, afrika ya magharibi na kwingineko duniani.
Yaani nawaomba watanzania wenzangu chonde chonde tusikubali kuingiza nchi yetu kwenye janga la vita ya wenyewe kwa wenyewe
Baina ya viongozi wa CCM na upinzani. Maana ndo wanaotuibia. Wananchi tutakuwa tunafuata CCM walipo na kuwachapa
Ile video yako ya kuchonga...umeandaa ipi tena?
Kabla ya yote mimi sio CCM wala CDM,ila ninakereka sana na wajinga kadhaa wanaosema ni bora nchi iende vitani kuliko kuendelea na utawala "dhalimu" wa CCM,mimi napingana nao ingawa ndio CCM imefanya machafu mengi sana kuanzia EPA,Richmond, Meremeta.Escrow, Radar na mengine kibao.
Hao watu wanaijua vita lakini?vita vya wenyewe kwa wenyewe wanavijua? Kwanza kama walikua na mipango yao ya kimaendeleo yote inabidi waifute na waanze kuishi kama ndege achilia mbali vifo vya uwapendao na mara nyingi nchi ikishaingia kwenye civil wars pia mataifa makubwa yanajipenyeza kuchochea pande flani ili wajinufaishe kama Prof Kalamaganda(yule wa law aliekua kwenye tume ya warioba) alivosema kua nchi pekee yenye utajiri inayongojewa iende vitani mabeberu waje wajichumie ni Tanzania.
Ni bora CCM waendelee kuliko kuingia vitani.
Watanzania wameshiba Amani by Mwinyi.!
Maviiii yako!! Kwa garama zozote zile ccm hatuitaki
Mnaongea kuhusu nini? Amani? Mh!
View attachment 287714
Hii naona sio viroba ni ile iliouwa watu kenya mmekunya wote mnaosema bora vita ni bora kukosa mali upate elimu