Serikali iwamulike hawa manabii

Serikali iwamulike hawa manabii

Mkristo gani asiyejua kwamba neno MUNGU huanza na kepito leta. wewe ni wale wale wa AS au saw.

wakipata utajiri wewe tatizo lako ni nini ? na wewe anza unabii kama umaskini umekuchosha tukuone.
au anza msikiti wa kilokole kwa waislamu upige hela. waambie wewe ni mjukuu wa mtume kwa yule mke wake mwenye umri mdogo.



wewe vp? yamekujaje haya?
 
Kuna Mmoja yupo Channel Ten Mimi Uwa nashangaa maana Majisifu, Majivuno na Maringo yake Utadhani ni Comedi. Kweli Manabii wengine ni wa uongo.

Eti Nabii Mkuu. Kwanza nabii wa kweli Uota ndoto na anayo Maono, tofauti na Misifa Wanayojitafutia Kwenye TV. Hapana Manabii Kama huyu Jamaa Mimi Naona Hakuna Kitu na Deal tu. Mtu anajiinua na Kujitukuza hata Kuliko Mungu.

Hata sheltani alipata kuwa malaika Mkuu lakini tusisahau bado Sheltani alibaki na Nguvu Kuu alipotelemshwa hapa Duniani.Nikujiinua, Kujiinua na Kutafuta popularity Kwa Kwenda Mbele. Mtumishi wa Mungu Siku zote Ujishusha na Wala sio Kujikweza na Kujipandisha kama awa Manabii wa ajabu.
 
Mkristo gani asiyejua kwamba neno MUNGU huanza na kepito leta. wewe ni wale wale wa AS au saw.

wakipata utajiri wewe tatizo lako ni nini ? na wewe anza unabii kama umaskini umekuchosha tukuone.
au anza msikiti wa kilokole kwa waislamu upige hela. waambie wewe ni mjukuu wa mtume kwa yule mke wake mwenye umri mdogo.

Nahisi una tatizo la kutumia kilichomo katikati Masaburi ktk kufikiri badala ya Ubongo uliomo Kichwani
 
Mkristo gani asiyejua kwamba neno MUNGU huanza na kepito leta. wewe ni wale wale wa AS au saw.

wakipata utajiri wewe tatizo lako ni nini ? na wewe anza unabii kama umaskini umekuchosha tukuone.
au anza msikiti wa kilokole kwa waislamu upige hela. waambie wewe ni mjukuu wa mtume kwa yule mke wake mwenye umri mdogo.


mungu/MUNGU yote yana maana moja....kuandika herufi ndogo hakupotezi maana ya neno MUNGU
 
kondoo-mbwamwitu.jpg

...nabii mkuu ...!

amefanana na MaxShimba
 
Last edited by a moderator:
Heri mie sijasema. Lakini ni kweli kuwa falsafa ya unabii inaakisi au kumfanya mchungaji au hao manabii kuwa matajiri? Na ni kwanini kwa nyakati hizi?
Mlio refer biblia ni wapi pameandikwa manabii wapewe pesa na utajiri? Kwangu mimi hao ni wapigaji tu kama walivyo wanyang'anyi wengine.

Wanyang.'anyi wanao wanyang.'anya watu walio nyang.'a nyang.'a .!
 
Acha mtapeliwe si mnasali ktk makanisa ya wanadamu baala ya kanisa alililoacha Yesu ambalo ni Catholics! badala yake mnatapeliwa kule 'mlima wa baridi', 'kanisa la kufukua', 'kanisa la efwatwa' kwa 'mzee wa upwakwa' 'kanisa la kikobe' nk

Wewe umepotoshwa, halafu unataka kupotosha wengine! Acha upotoshaji wewe, tafuta Kitabu cha BWANA ukasome! (ISAYA 34:16). Yesu hakuacha kamwe kanisa la Catholics! Yesu hakuwa Mkatoliki. Yeye alibatizwa katika maji tele (MATHAYO 3:13-17), tofauti na Wakatoliki. Vilevile, tofauti na Wakatoliki wanaopinga juu ya kuokolewa, Kanisa aliloliacha Yesu lilikuwa la watu waliookolewa: MATENDO YA MITUME 2:47,"...Bwana akalizidisha KANISA kwa wale waliokuwa WAKIOKOLEWA." Eti Makanisa ya wanadamu! Kwa taarifa yako, Mungu anafanya kazi na wanadamu (1WAKORINTHO 3:9; EZEKIELI 22:30). Tangu Kitabu cha MWANZO, Mungu anatajwa kufanya kazi na wanadamu, ambao hata taasisi zao hazitajwi: Nuhu, Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Musa, Yoshua, Eliya, Elisha, Yohana Mbatizaji, Petro, Yohana, Paulo n.k.
 
Wewe umepotoshwa, halafu unataka kupotosha wengine! Acha upotoshaji wewe, tafuta Kitabu cha BWANA ukasome! (ISAYA 34:16). Yesu hakuacha kamwe kanisa la Catholics! Yesu hakuwa Mkatoliki. Yeye alibatizwa katika maji tele (MATHAYO 3:13-17), tofauti na Wakatoliki. Vilevile, tofauti na Wakatoliki wanaopinga juu ya kuokolewa, Kanisa aliloliacha Yesu lilikuwa la watu waliookolewa: MATENDO YA MITUME 2:47,"...Bwana akalizidisha KANISA kwa wale waliokuwa WAKIOKOLEWA." Eti Makanisa ya wanadamu! Kwa taarifa yako, Mungu anafanya kazi na wanadamu (1WAKORINTHO 3:9; EZEKIELI 22:30). Tangu Kitabu cha MWANZO, Mungu anatajwa kufanya kazi na wanadamu, ambao hata taasisi zao hazitajwi: Nuhu, Ibrahimu, Isaka, Yakobo, Musa, Yoshua, Eliya, Elisha, Yohana Mbatizaji, Petro, Yohana, Paulo n.k.

Mkuu wewe unasali wapi? kanisani au 'nyumbani kwa mtu'? Pole mkuu!
 
Mkristo gani asiyejua kwamba neno MUNGU huanza na kepito leta. wewe ni wale wale wa AS au saw.

wakipata utajiri wewe tatizo lako ni nini ? na wewe anza unabii kama umaskini umekuchosha tukuone.
au anza msikiti wa kilokole kwa waislamu upige hela. waambie wewe ni mjukuu wa mtume kwa yule mke wake mwenye umri mdogo.

Mkuu mi nafikiri ungejadili usahihi wa alichowasilisha na si kumvamia yeye kama yeye. Sioni hata kosa lake ni nini maana yeye amesema anachokiona, ni vizuri na wewe ukasema kile ambacho sicho
 
Acha mtapeliwe si mnasali ktk makanisa ya wanadamu baala ya kanisa alililoacha Yesu ambalo ni Catholics! badala yake mnatapeliwa kule 'mlima wa baridi', 'kanisa la kufukua', 'kanisa la efwatwa' kwa 'mzee wa upwakwa' 'kanisa la kikobe' nk

Hebu onesha aya kwenye Biblia kwamba Yesu aliacha kanisa katoliki duniani!
 
Acha mtapeliwe si mnasali ktk makanisa ya wanadamu baala ya kanisa alililoacha Yesu ambalo ni Catholics! badala yake mnatapeliwa kule 'mlima wa baridi', 'kanisa la kufukua', 'kanisa la efwatwa' kwa 'mzee wa upwakwa' 'kanisa la kikobe' nk

Ni kweli Yesu amelihacha kanisa catolic yupo kwenye msingi ambao ni mitume na manabii.
 
mungu/MUNGU yote yana maana moja....kuandika herufi ndogo hakupotezi maana ya neno MUNGU

Ukiona neno mungu kwenye biblia maana yake si MWENYE ENZI MUNGU hata shetani anaitwa mungu.
 
Mambo Ya Rohoni Utambuliwa Na Watu Wa Rohoni Tu, Kwa Iyo Kama Wewe Ni Mkristo Lkn Hujaokoka Bado Huwez Kuelewa Mambo Ya Mungu. Sasa Ni Wakati Wako Kumkiri Yesu Na Kumwamini Kuwa Mwokozi Na Roho Mt. Atakufundisha Yote. Injili Pia Inahtj Pesa.
 
kweli umenena ila sikuungi mkono kutaka serikali iwamulike. wananchi ndio watafakari mara mbili kama kweli hao matajiri wanaweza kuwapeleka mbinguni wanakoamini. kuna mmoja wa arusha anatishaaaa!
 
ibanezafrica

Mathayo 24-26
Yesu akajibu akawaambia,"angalieni mtu asiwadanganye,kwa maana wengi watakuja kwa jina langu wakisema,Mimi ni kristo.nao watadanganya wengi.
Kwa maana watatokea MAKRISTO WA UONGO,na MANABII WA UONGO.
Nao watatoa ishara kubwa na maajabu,ili wapate kuwapoteza.....

Sio kila anayeita bwana bwana.....
 
Last edited by a moderator:
Ingawa wame ni ban humu ila najaribu kutoa mchango sijui kama uta be submitted?

Manabii, wachungani, mitume na wanaofanana na hao wa uongo ni wengi sana tu. Kumtambua kuwa ni wa Mungu au wa shetani utaweza tu kwa kutumia ROHO MTAKATIFU WA MUNGU. Wengine hutambulika kwa maneno, fikra na matendo yao.

Ni matajiri sana kimwili kuliko kiroho. Wanajitukuza au wanatukuzwa sana kuliko Mungu aliye Mkuu. Utamuuliza mtu anatoka wapi? atakuambia kanisa la ....... (naogopa kutaja majina ya watu sababu labda watani ban tena hawa moderators wa humu). Wadanganyika wengi ni wanawake, ingawa pia wanaume wapo wengi tu. We ukiwa na kipato kikubwa hata kama hujui Bible ikoje utaweza kuteuliwa kuwa mzee wa kanisa. Wanajiita wao ni ma transformer, wazee wa upako. Ukiudhuria kwao utaponywa, utapata pesa, utapata watoto, mume na mengine meengi ya kimwili au ya kiduania. Ila ya kiroho kuhusu upendo wa ki Mungu na binadamu wenzako, kiacha dhambi na kutenda mema hawasisitizi hayo.

Haya sasa Moderator ni ban tena.

Wewe ni waku-ban kabisa maana ni mwongo
 
Back
Top Bottom