Recent content by Dr Mabuga M

  1. D

    Naomba kujua wasifu wa Sammy Awami, mwandishi wa BBC

    Anatoka Kenya , mbona Na sisi wapp wazuri sana BBC kama Salim Kikeke
  2. D

    Kumdungua aliyemaliza kidato cha 4 ana miaka 18 kuna kesi kisheria?

    Hiyo hainaga ushemeji , Subiri kesho kutwa kuanzia SAA sita Na dakika moja maana utakuwa amekuwa MTU mzima , we dungua kwa risasi ya kijeshi
  3. D

    Top Universities in Tanzania and in Africa

    Miaka kadhaaa Udom itakuwa ndo Chuo bora Africa watch it and be carefull
  4. D

    Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

    Kuna lugha ya kumwambia mkubwa wako syo kumwamlisha, utajusikiaje we kuamlishwa Na mwanafunzi wako???
  5. D

    Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

    Nimecheka sana kwa nini hamuwapendi Polisi???????
  6. D

    Putin: Siwezi kusamehe usaliti

    Kwani anko ameshindwa kumwondoa Chachali Na Mange
  7. D

    TANZIA: Nimefiwa na baba yangu mzazi

    Pole alibakali , Mwenyezi Mungu akutie nguvu
  8. D

    Hivi Msukuma halisi huwa anatokea wapi?

    Inchwankima inapatikana Chato karibu Na kachwamba maeneo kule aliko zaliwa waziri Wa nishati Medard Kalemani
  9. D

    Hivi Msukuma halisi huwa anatokea wapi?

    Wasukuma kubaguana ni vigumu sema wanapenda sana matani lakin sio kubaguana wao kwa wao
  10. D

    Uingereza yalalamika kuingiliwa uchaguzi na Urusi.!

    Urusi nahic ni nchi hatari sana duniani kuliko zote
  11. D

    Rais Magufuli yashamshinda?

    Kwa hali ya nchi ilipokuwa wakati Wa kikwete ndani Na nje ya nchi kulikuwa Na sababu ya kumpata huyu bwana maana Tanzania heshma ake ilikuwa imeshuka sema kitu ambacho anatakiwa afanye ni kulegeza vyuma namna alivyokaza , Hii nchi ikipata tena kama Magufuli tutafika mbali sana, IPO Siku Magufuli...
  12. D

    Kitu gani kilikufanya ukaachana na mpenzi uliempenda sana?

    Nilimpenda umbali Na Changamoto za ubize Wa maisha ndo zilitutenga , akaamua bora aoelewa ila tulipendana , sababu alikuwa Na haraka ya kuolewa wala sikulaum make muda mie ulikuwa bado sana ,
  13. D

    CHADEMA wangekuwa wanafanya usajili kama klabu za mpira, huyu dogo angewafaa

    IQ ya dogo ni kubwa sema mazingira ndo yanaipunguza
  14. D

    Hizi ndo shule 100 Kongwe na zilizotikisa Tanzania, na asilimia 90 humu tumepitia katika shule hizi

    Shikamo Ihungo walitoka akina profesa Rweyemamu mhadhiri mkubwa miaka hiyo Harvard, Ngereja, Lukuvi, Mbowe, Na mim mwenyewe Na wengine wengi sana
Back
Top Bottom