Recent content by Dr kwalu

  1. D

    Government chemistry laboratory authority

    Napenda kuuliza 'medical laboratory technologist' anaweza kuajiriwa kufanya kazi kwa Mkemia mkuu wa Serikali,, na kama anaweza,, majukumu yake, yakoje huko?
  2. D

    I am addicted to sex

    Nenda kapime hormone LH, FSH, progesterone, ostrojen, baadaye utartbu mwngne utfuata
  3. D

    Ajira na tenda

    My experience nmefany Benjamin mkapa hospital, Kinga referral hospital, shinyanga regional referral hospital, UDOM hospital
  4. D

    Naomba ushahuri wenu tafadhali

    Hjitambui hyo mwanamke anayo ya dhahabu ,,simama kama una ndevu ,, tena mwambie umeahirisha mpaka mwakani !!akah acha umandazi jomba
  5. D

    Ajira na tenda

    OK ,vzr ndgu ,, unaweza nifahamisha zaidi ya kupata huo utaratibu
  6. D

    Mliofanikiwa kwenye Network Marketing tunawaomba mtoe Ushuhuda hapa

    Habri zenu ,,wakuu ,, mwenye uelewa na kampuni ya forever living naomba kunijuza ,,ijihusiayo na online marketing
  7. D

    Ajira na tenda

    Nina fani ya maabra ya binadamu ,, nahtaji kufanya kazi nje ya nchi ,, Kenya , na nchi zingine .napenda kufahamu utaratibu ukoje kwenda nje kpga kazi
  8. D

    Kama akili za Maprofesa wetu ndio zipo hivi, Basi tusahau kuhusu maendeleo

    Duuuuh katapeliwa na uprofessor wake ,, mpeni pole
  9. D

    Tiba za asili: Manufaa ya asali na mdalasini

    Jaman nauliza Dawa ya uvimbe kwenye kiwiko Matatizo yake Maumivu makali wakati wa usiku ,, na baridi
Back
Top Bottom