Kihoronge
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 545
- 712
Six millionsHabari za wakati huu wakuu. Nawasilimu sana.
Moja kwa moja kwenye hoja ya msingi "Naomba Ushauri Wenu Tafadhali".
Nina mchumba ambaye nimekwisha posa na kujitambulisha nyumbani kwao. Tumepanga kuoana mwezi wa saba.
Kwa bahati mbaya kwa sasa ninapitia kipindi kigumu kifedha, kiasi cha kushindwa kutimiza maandalizi ya ndoa na harusi.
Bado sijalipa mahari ( nimetozwa ndefu kidogo 6Millioni), na kiukweli kwa sasa hata kodi ya nyumba inanikimbiza. Mbaya zaidi binti ameshawatangazia watu wake wa karibu na kuwapa kadi za harusi.
Wazee nao wanasema walau nilipe milioni 3 kwanza ndo mambo yaendelee.
Nimejaribu kumwabia tufunge ndoa ya kawaidi (bila harusi) lakini binti, wazazi (wangu na wake) hawako tayari.
Ninaotamani kuomba kuahirisha lakini roho inakataa. Nifanyeje?
Asanteni


Mkuu sijafumaniwa wala kumpa mimba. Nimetumia utaratibu wa mila na desturi wa kuposa kabisaSix millions
Mshahara wa boss wangu...
Huyo mwanamke ni mzungu?
Je ulitafutiwa au ulimtafuta?
Nahisi umefumaniwa naye au umempa mimba na ndo maana umeitika kila kitu
Wapare, Upareni!
Kwanza mwambie mchumba wako na familia yako ukweli halafu kuna kamati ya harusi.Habari za wakati huu wakuu. Nawasalimu sana.
Moja kwa moja kwenye hoja ya msingi "Naomba Ushauri Wenu Tafadhali".
Nina mchumba ambaye nimekwisha posa na kujitambulisha nyumbani kwao. Tumepanga kuoana mwezi wa saba.
Kwa bahati mbaya kwa sasa ninapitia kipindi kigumu kifedha, kiasi cha kushindwa kutimiza maandalizi ya ndoa na harusi.
Bado sijalipa mahari ( nimetozwa ndefu kidogo 6Millioni), na kiukweli kwa sasa hata kodi ya nyumba inanikimbiza. Mbaya zaidi binti ameshawatangazia watu wake wa karibu na kuwapa kadi za harusi.
Wazee nao wanasema walau nilipe milioni 3 kwanza ndo mambo yaendelee.
Nimejaribu kumwabia tufunge ndoa ya kawaidi (bila harusi) lakini binti, wazazi (wangu na wake) hawako tayari.
Ninaotamani kuomba kuahirisha lakini roho inakataa. Nifanyeje?
Asanteni
Nashukuru kaka kwa ushahuri wako mwema. Ninaomba kulichukua hili, na mrejesho nitakupa. AsanteKwenye mambo ya kuoa usipokuwa makini unaweza kujikuta uko dilema!
Mm kipindi nataka kuoa mwaka juzi nikamwambia mwanamke tarehe flani tunaenda kwenu kutoa mahali, lkn nikamwambia najua ninyi wachaga mnaoenda sana hela mm mahali nitakayotoa haitazidi laki 8, kwa hiyo naomba uwambie kabisa ndugu zako kwamba mchumba wangu hana so mahali mtakayopnga isizidi milion 1
Na kama hutaki kuolewa basi wewe usifanye nlichokwambia alafu wapange mamilion huko uone kitakachotokea.
Akatafuta namba ya babaake mdogo akampigia huku analia kwamba mchumba wangu hana kitu kwahiyo naomba msimpangie hela nyingi.
Basi siku ikafika wakafulukuta wewee, wakanipangia mlion 1 na laki 8 mm nikamwambia mshenga wangu waambie hiyo hela sina kama vipi tuondoke tumeshindwa, tukaanza kunanyua kweli, eee wakasema basi leteni hiyo iliyopo kwanza, nikatoa laki 5 kabla ya harusi nikaongezea lk 3 ikawa laki 8 basi mchezo umeisha.
Nikwambie tu ukweli, katika suala la mahali mabint wenyewe kama anajitambua ataplay part kubwa sana kukutetea, kwasababu Maisha ni yako wewe na yeye sasa akiacha wazazi wake wakunyonge alafu sijui mnaenda kuishije alafu?
Alafu unakuta demu mwenyewe kashafikisha miaka 28+ alafu bado ana act kama bint wa miaka 20! Komaa na wazazi mpaka kielewke uoelwe hata kama ni kwa laki 2 ili mradi mtu wako kaja kuweka heshima kwenu na wewe umeolewa kwa heshima kabisa.
Lkn mkiendelea kuachia wazazi waoange mahali wanavyo taka mataemdelea kumegwa huku ndoa mkiendelea kuzishuhudia kwenye kumbi tu.
Poa mkuu, komaa na bint mpige hata bit kidogo, weka msimamo mwambie awaeleze ukweli wazazi wake kwamba huna kitu na yeye anaoneshe ushirikiano kukutetea, kama anataka kweli kuolewa.Nashukuru kaka kwa ushahuri wako mwema. Ninaomba kulichukua hili, na mrejesho nitakupa. Asante
Si bikiraSamahani kwa kuchangia nje na ulichotaka kushauriwa.
Ninachokijua mimi wewe na mchumba wako mkikubaliana kuoana ishu ya mahali huwa ni bargainable mpk kiasi ambacho wewe unaweza kulipia sio wakuforce nje ya uwezo wako.
Sasa ilikuaje wewe ukakubali kulipa mahali kubwa kiasi hicho?.
Swali la msingi:
Huyo mwanamke ni BIKRA?
Kuwa naye makini isije naye hakutaki ila wewe king'ang'anizi kaamua akutose kwa njia hiyo ili ushindwe aje mwenye nazoKashindwa kabisa.
Ndiyo chakujiuliza hicho mnafunga ndoa leo kesho mnafukuzwa kwenye nyumba kodi imeishaKodi ya nyumba inamshinda halafu anakubali kulipa mahari ya millioni 6!!!
Waambie mahari millioni tu au unaingia mitini wasikufanye mgongo wao wao kutafuta utajiri kwa nguvu.


Ndiyo chakujiuliza hicho mnafunga ndoa leo kesho mnafukuzwa kwenye nyumba kodi imeisha![]()
Angekuwa mdogo wangu ningemlamba vibao 2 akili ikae sawahata pesa ya kula hamna furniture pia hamna.
Poa asee katerero njema kama utafanikiwa kumaliza mahari na kuoa.Mnyambo wa Karagwe
Fata mfuko wako unavyosema hao wazaz wanaotaka harusi iwe kubwa waambie watoe pesa zao mfukoni shubaaaaah mitiHabari za wakati huu wakuu. Nawasalimu sana.
Moja kwa moja kwenye hoja ya msingi "Naomba Ushauri Wenu Tafadhali".
Nina mchumba ambaye nimekwisha posa na kujitambulisha nyumbani kwao. Tumepanga kuoana mwezi wa saba.
Kwa bahati mbaya kwa sasa ninapitia kipindi kigumu kifedha, kiasi cha kushindwa kutimiza maandalizi ya ndoa na harusi.
Bado sijalipa mahari ( nimetozwa ndefu kidogo 6Millioni), na kiukweli kwa sasa hata kodi ya nyumba inanikimbiza. Mbaya zaidi binti ameshawatangazia watu wake wa karibu na kuwapa kadi za harusi.
Wazee nao wanasema walau nilipe milioni 3 kwanza ndo mambo yaendelee.
Nimejaribu kumwabia tufunge ndoa ya kawaidi (bila harusi) lakini binti, wazazi (wangu na wake) hawako tayari.
Ninaotamani kuomba kuahirisha lakini roho inakataa. Nifanyeje?
Asanteni