Recent content by DOST

  1. DOST

    Weekend Story: You Can't Handle The Truth

    hahahah lara leo umekula nini mpaka uvimbiwe ivo
  2. DOST

    Nina matatizo ya tumbo na kukosa choo

    ***vijiko viwili au vitatu
  3. DOST

    Nina matatizo ya tumbo na kukosa choo

    kunywa mafuta ya olive oil (mafuta ya zaituni) yana ladha mbaya kidogo ila yanasaidia sanaa kw siku kunywa vijiko foodspoon,,ukinywa kunywa na maji ili usihisi ile harufu yake kula vyakula vya fiber sana,, mboga mboga ,, fanya mazoezi
  4. DOST

    Tiba/Dawa kwa mtoto au mtu kikojozi

    pole sana,, usione aibu kwenda kwa doctor maradhi ametuumbia Mungu hujataka uwe hivo. Nenda ukachunguzwe zaidi upatiwe tiba, kama ni mwanaume nenda kwa urologist (wanaodeal na njia za mkojo za kiume) au pengine una upungufu wa hormone ya ADH
  5. DOST

    Weekend Story: You Can't Handle The Truth

    hongera kwa mfungo lara1 .. tueke bada ya ftari au hata daku,plsss stori tamuu , swaum makboul
  6. DOST

    Kidoti cheupe kwenye uke wa mtoto

    je kina muwasha au kinauma kw vile ni mtoto hawezi kuongea atakua na dalili hizi, joto kuongezeka, kulia sana, kujikuna hio sehemu, kimenza lini? kinaendelea kukua, kina ukubwa gani itabidi mama awe anamchunguza kila bada ya muda pia nakushauri umpeleke spital ya watoto kw uchunguzi zaidi...
  7. DOST

    Weekend Story: You Can't Handle The Truth

    lara 1 ahsante sanaaa storii nzuri kwelii,, iqra bado mdogo ana akili za kitoto sio kama anamchukia mdogo wake
  8. DOST

    Napatwa na njaa kali kila wakati!

    nenda spital ukapime sukari ,, (blood glucose)
  9. DOST

    Ugonjwa usioeleweka

    poleni sana Allah amsaidie,, inaonekana ni madhara ya dawa alizopewa,, fuatilieni spital alolazwa mwanzo mujue ni dawa gani alipewa ili asije akapewa tena dawa hizo siku nyengine
  10. DOST

    Je huu ni ugonjwa gani na naombeni ushauri wa dawa zake

    wewe ndio umekurupuka,, nimetaka kujua majina hasa ya dawa alizotumia najua arthritis ina dawa nyingi pengine alizotumia mwanzo hazikumfa abadili dawa au aongeze dose ya dawa, dr kawaida huanza na dawa za low price and low dose km zipo
  11. DOST

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Painkiller zinasaidia ila dawa hasa za maradhi yako ni corticosteroids(prednisone, predinosolone etc) lakini dawa hizi zinamadhara mengi sana lazima uandikiwe na doctor na iwe dose ndogo n uwe unaenda kufanya control kila bada ya muda kwa sasa unaweza jaribu painkiller (naproxen or...
  12. DOST

    Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

    Ka ulivoandika maumi u yanaongezeka zaidi wakati unapopumzika na ukiwa katika pirika maumivu huondoka, hii inaonesha una pain inayosababishwa na inflammation,, kuna uwezekano ukawa na rheumatologic diseases ni list ya maradhi mengi kw symptoms zako it can be ankylosing spondilitis,, inatibiwa...
  13. DOST

    Bandama mwilini, inasaidiaje mtu kucheka

    kwa ninavojua mie spleen ina saidia kw kiwango cha kiasi ktk utengenezaji wa damu na kinga mwilini kina connection ya mishipa ya damu na inni, pia huwalinaweza vimba (splenomegaly)ukiwa na maradhi mfano ya Ini, anemia, kupungua kw kinga ya mwili, etc hio ya kucheka ndio naisikia leo
Back
Top Bottom