Napatwa na njaa kali kila wakati!

cha kwanza kabisa kunywa dawa ya minyoo asbh kabla ya kula kitu then leta mrejesho hapa. Binafsi naitamani sana hamu ya kula
 
kuanzia kesho asubuhi ukiamka tafuna kitunguu saum kama punje tatu kabla hata ya kuswaki then endelea na mishe zako, fanya hivyo kwa siku tatu
 
mwili unaita uo! utanenepa kama Peter msechu . hiyo hali naitamani sana maana chakula na mimi hatupatani kabiasa nakosa hamu ya kula sana sijui shida nini.
 
Habari!

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 week ya pili mfululizo sasa nimepatwa na tatizo la kusikia njaa tena kali sana kila baada ya masaa mawili japo ninakula vizuri tena chakula kingi

Hatari zaidi ninapoamka asubuhi ni kama usiku sijala kitu kwa njaa ninayoisikia msaada tafadhali je ni minyoo au ni tatizo lingine Dawa za minyoo nilikunywa muda mrefu sana!
Tafuna punje za vitunguu swaumu kuanzia tano hadi kumi kila unapoenda kulala.
Vitunguu swaumu vinafanya kazi ya kusafisha bakteria wote wabaya tumboni pia hata minyoo
Pia usipende kula hadi ukavimbiwa
 
Back
Top Bottom