Usimuache kaka ushauri wangu mpelek hospital akafanyiwe uchunguz kam hajaaribiwa huko nyum ila muoe uwezi kujua atakufaa nini katik safar yako ya maish Mungu akubarik
Mme mwema anatoka kwa Mungu na pia kila kitu na wakati wake mmmmhhh sisi wanawak kumtongoz mwanaume siyo rahsi duh we noma na unaonekan unayawez haya kila la kheri mpndwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.