Akupe jibu maana naona yeye ni elimu pekaa anatangulizaDaaah!!! Ss hiyo form 6 ndo imeharibu kila kitu! Mimi ni mkristo mcha mungu elim yang ni darasa la 7 nahitaj mchumba pia! Sijaajiliwa, nimfanyabiashara, nna maduka matatu ya vifaa vya ujenzi, moja lipo hapo morogoro lingine lipo mlandizi mkoa wa pwan na lingine lipo kimara! Ila ni darasa la 7. So nimekosa mke hapo.
Eish!! Gayish0788031918
Mimi ni msichana wa miaka 27 muajiriwa selikarini elimu yangu ni degree moja, mkristo naishi Morogoro. Natafuta mchumba mwenye sifa hizi, awe mkristo mcha Mungu muajiriwa au aliyejiajiri elimu kuanzia form six. Umri kuanzia miaka 28 mpaka 38, plz kwa aliye serious tu, karibu pm.
kila la kheriMimi ni msichana wa miaka 27 muajiriwa selikarini elimu yangu ni degree moja, mkristo naishi Morogoro. Natafuta mchumba mwenye sifa hizi, awe mkristo mcha Mungu muajiriwa au aliyejiajiri elimu kuanzia form six. Umri kuanzia miaka 28 mpaka 38, plz kwa aliye serious tu, karibu pm.
Vigezo nimekidhi nitafute pm tupange mipango ya harusi sawa babyMimi ni msichana wa miaka 27 muajiriwa selikarini elimu yangu ni degree moja, mkristo naishi Morogoro. Natafuta mchumba mwenye sifa hizi, awe mkristo mcha Mungu muajiriwa au aliyejiajiri elimu kuanzia form six. Umri kuanzia miaka 28 mpaka 38, plz kwa aliye serious tu, karibu pm.