vantz
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 1,107
- 571
Hata boda boda huwezi pata kwa bei hiyoomilion 1, full paid?
Hata boda boda huwezi pata kwa bei hiyoomilion 1, full paid?
Ha haaaa harudi tena hapaaaMkuu nahitaji Gari hizi;
Toyota Runx ,Passo na Funcargo
Haraka iwezekanavyo Mkuu...Mimi Siogopi kuzulumiwa Hata Hela naweza kukutumia Ukinipa Account yako..Hela yote.Siitaji Kukujua Mkuu...
Au Nikutumie??Au Unaogopa Pesa Za Motto??
Mi nataka nikutumie Usipoleta gari Utajua mwenyewe Ila mi nakuwa nimeshakutumia Hela...
[emoji12] [emoji12]Hii ni zaidi ya Suicide Bombing
Hiyo milioni tano ni CIF bado kodi hapo acha kuwavuta watu kwa chambo ili uwavueHapana mkuu,hiyo ni bei ya gari huko Japan ambayo ni Dola 500 hapo sijajumilisha na gharama zingine za usafirishaji na kodi inaweza kufika hata 5mil.mpaka uishike mkononi!
Kwani ukiyaweka hapa kuna Ubaya gani?Mkuu nicheki inbox tupeane Maelekezo kwa ukaribu zaidi,ili ujue itakugharimu sh.ngapi?
Ni kweli mkuu, au yaweza kuwa ya wizi. Am just sayingMuwe makini sasa hivi utapeli upo kila kona. Gari la 1m au mkokoteni.....
Kwanini utaratibu uutoe kwa mtu mmoja kama lengo lako lilikua kuwafikia watumiaji wa jamii forum. Je isingependeza kama ungeweza utaratibu hapa ili kila atakayepitia huu uzi auone.Sina Tabia hiyo na wala sina mpango wa kumtapeli mtu,nimesema aliyeserious aje nimpe utaratibu wa kiofisi!
Taratibu mkuu mbona unataka kuharibu kazi za watu?huoni biashara yenyewe inatakiwa mkutane inbox!Nyie ni akina nani? Kampuni yenu inaitwaje? Mna Website ili wateja tuone baadhi ya magari mnayowaleta?
Inbox?Mkuu nicheki inbox tupeane Maelekezo kwa ukaribu zaidi,ili ujue itakugharimu sh.ngapi?
Umeulizwa kampuni gani na ofisi zilipo na website mbona hujibu?Hakuna utapeli mkuu,nani atakutapeli na wakati hii ni kampuni taratibu zote za kisheria zinafuatwa!
Thanks sana kakaGari inayouzwa dola 500 Japan, ambayo ni sawa na Mil moja ya hapa hadi isafilishwe hadi hapa itakuwa ni kama dola 2000 na ushee, hiyo ndo CIF hizo ni kama 4.5mil sasa songombingo za TRA na the same amount 4.5mi kwahiyo the cheapest car ever ya kuagiza ambayo ipo fit ni kati ya sh 8mil had 9 .kwahiyo Gari ya Mil moja hakunaga. Hata ukipewa Gari bure Japan bado 6 to 7 Mil itakutoka
Na hili unaloita tangazo lako ungetolea huko inboxMkuu nicheki inbox tupeane Maelekezo kwa ukaribu zaidi,ili ujue itakugharimu sh.ngapi?
Acha utapeli wewe,mwanzo umeandika jipatie gari kuanzia ml.1Upo sahihi mkuu,lakini mmi sikumanisha million moja ndio nimejumlisha na kila kitu hiyo ni bei ya gari tu huko Japan bado malipo mengine ya ziada!