Recent content by doreenkemy

  1. D

    Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

    mwanaume akitaka kuzaa na wewe atakwambia tuu.na mtapanga pamoja suala hilo lakini ukiamua mwenyewe mwanamke ujue hilo lako.usilaumu mtu we lea
  2. D

    Wanaume tuoneeni huruma dada/mama zenu

    wanawake wengi tunaachia tupate mimba kwa sababu mbalimbali.wengi tunategesha mimba ili kuolewa,wengine tunategesha kwa mwanaume wenye hela tukidhan kuwa nikizaa nae ndo nitakula hela yake vizur.wengine umri umeenda anaamua kuzaa na mwanaume yeyote ilimradi naye apate mtoto wake.kwa wale waopata...
  3. D

    Mzee Yusufu kumtema mkewe baada ya kugoma kuacha kuimba taarabu kama alivyofanya

    chezea magufuli weweeee.mifuko ishatoboka.tutanyooka tu
  4. D

    Ni mzuri nashindwa kumuacha na hajui kuwa nimeoa, nifanyeje?

    mwambie ukweli binti huyo.endelea kubandua nyingine.Acha kudanganya vibinti vya watu.
  5. D

    Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa

    kila jambo na wakati wake mdogo wangu.mungu katika kujibu maombi yetu huwa hawai wala hachelewi bali hujibu kwa wakati.nakushauri usisikilize maneno ya masengenyo kutoka kwa watu, wala kuangalia huyu kaolewa mi bado hata kama mdogo wako wa tumbo moja .we endelea na ratiba zako na plani zako kama...
  6. D

    Tukifuta mfumo wa Indirect qualification kuingia chuo kikuu basi wafuatao wakarudie mitihani yao

    shidaaa kwahiyo Diploma na certificate zinafutwa au.jaman hii elimu sijui mwisho wake itakuwa nini.kila wazir anaingia na staili yake kila kukicha jipya.huku majipu yanaendelea kupasuliwa.tupo kama bendela kufa upepo
  7. D

    Kukumbushia kumenicost!!!

    wala usiwaze umeyataka mwenye.we subiri mke wa pili huyo,hakuna aja ya kunyata kwenda ku duu nae.
  8. D

    Ndoa chungu, ndugu wamezidi, nishauri nifanyeje?

    duuu pole sana ndugu.yan najitahid kuimajin ingekuwa mimi ningefanyaje.mi nimeisha maisha ya hivyo baba ndugu kibao mpaka watoto tunasaulika hata kula chakula kizur ilishindikana ni kula ugali maharage kama shule za boarding.na mwisho baada ya kufanikiwa hakuna aliyetukumbuka zaid ya...
  9. D

    Nina mimba na mtoto ana miezi minne, naomba ushauri wenu nifanyeje?

    Huwa mtoto anaendelea kunyonyeshwa mpaka mpaka miezi mitatu ya mimba au sita,ila mama unatakiwa ule msosi vizur kwani unaweza kudhoofika. Baada ya hapo unamuachisha kunyonya kabisa aanzi kunywa ya kopo au uji wa dona uliochunywa na wengine huwa mtoto anachukuliwa eidha na bibi yake au mlezi...
  10. D

    Makosa ya kuepuka katika uvaaji wako wa suti

    elimu nzuri sana.hapo kwenye urefu wa tai balaaa
  11. D

    Hivi zile 'couple' za vyuoni huwa zinaishia wapi?

    si bora za chuo wengi wao huwa wanaoana.kasheshe za sekondar ndo balaa.
  12. D

    Msaada: Daktari kaniambia mke wangu hawezi kupata mtoto kwa sababu tunatofautiana rhesus factor

    usiwe na wasi ndugu we sio wa kwanza nimewashuhudia wengi,dawa kubwa huwa wanachoma hiyo sindano na wanajifungua salama salimin.na watoto wao wapo na Afya tele
  13. D

    Ushauri: Nimempa mimba msichana na tayari nina mchumba

    inaelekea elimu ya kutumia kinga huna kila unaekutana nae kavukavu.hiyo dalili mbaya hata uliye mtia mimba namuinea huruma kwani ataletewa sana watoto wa nje.ajiandae.
  14. D

    Wanawake Kama Mko Hivi Basi Tusilaumiane..!!

    ukiona hivyo kubakana tu no maandalizi
Back
Top Bottom