Mtile
Senior Member
- May 25, 2013
- 126
- 87
Mtoto wako akienda kulelewa na baba wa kambo, utajisikiaje???? Utajisikiaje akikwambia katoa hiyo mimba, roho yako itakuwa na amani kiasi gani??? Lakini vipi ukisikia huyo Mwanamke amefariki wakati akihangaika kuitoa hiyo mimba, utafurahi au utahuzunika??????
Ili kuwa katika sehemu salama, ni vyema kuikubali na kuilea hiyo mimba mkiwa pamoja (kama wazazi)...
Unaweza kuitelekeza hiyo mimba au kuitoa , kwa lengo tu LA kuendelea kuishi na huyo demu wako wa kisasa (mjini), vipi hapo baadae ukigundua huyo demu wako Wa sasa ANA MATATIZO YA UZAZI????
MWISHO NAKUSHAURI, Mwanaume makini huchukua maamuzi sahihi, kulingana na MAZINGIRA husika ya wakati huo.... sasa tafakari ni yapi maamuzi sahihi kwako kwa mazingira uliyo nayo?
Ili kuwa katika sehemu salama, ni vyema kuikubali na kuilea hiyo mimba mkiwa pamoja (kama wazazi)...
Unaweza kuitelekeza hiyo mimba au kuitoa , kwa lengo tu LA kuendelea kuishi na huyo demu wako wa kisasa (mjini), vipi hapo baadae ukigundua huyo demu wako Wa sasa ANA MATATIZO YA UZAZI????
MWISHO NAKUSHAURI, Mwanaume makini huchukua maamuzi sahihi, kulingana na MAZINGIRA husika ya wakati huo.... sasa tafakari ni yapi maamuzi sahihi kwako kwa mazingira uliyo nayo?