Kukumbushia kumenicost!!!

Kukumbushia kumenicost!!!


Ndo maana kuna wakati nasikia harufu za nepi humu, siku nyingine nasikia harufu za maziwa, juzi kati ile na login nakutana na mapampasi kibao, kumbe kumejaa watoto mimi sikujua kabsaaaaaaa.
 
hahahaha dogo una miaka mingapi usiassume kuwa kwa vile nimesema ndo nilikuwa namaliza mwaka wa kwanza basi niliingia chuo nikitoka shule nilitokea kazini ndo mana nikasema wewe ni mtoto
nimekuelewa mm...!!!
 
Usisumbue wakubwa jinga we, utakula ulikopeleka mboga
 
Back
Top Bottom