Recent content by doreenbryn

  1. D

    Ninavyoendelea kumdanganya huyu mrembo

    Hivi wewe unaesema akili zao za kuvukia balabala za kwako make kuunganisha watu wote hao akiwemo mke wako una huruma na watoto wako huogopi ukimwi unapotukana wanawake hivo unamtukana na mama ako akili yako ni ya kuvukia mtaro tu huna jipya
  2. D

    TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

    Bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe
  3. D

    Lowassa kama claudio Makelele enzi zile akiwa pale Chelsea

    Wewe ni ukawa kilichokufurahisha nini husomeki
  4. D

    GE2015 Lowassa ashindwa kuhutubia Geita

    Huo mdahalo ni lini nisaidieni
  5. D

    Halima Mdee amwita Dk. Magufuli Jembe

    Hata chadema watampa kura Magufuri tu hamna namna nyingine
  6. D

    Lowassa: Nipeni bakora niwachape mafisadi!

    Ulishawahi kuona anaejichapa hakuwa na uhakika kipi anazungumza
  7. D

    Kweli nimeamini ulikuwa moto wa mabua

    Uko sahihi kabisa hao ukawa sio
  8. D

    Wanawake wote wanajiuza ila kila mmoja hutumia njia yake tu ya kujiuza!!

    Umemekosa sera na mama ako na dada zako wanajiuza
  9. D

    UKAWA waanza kuchangisha fedha baada ya ukata Mkali

    Hawa wakipewa nchi tumekwishaaaaaaaaaa
  10. D

    Dr. Slaa karibu ACT-Wazalendo

    Wana ukawa wa ukweli wako kimya
  11. D

    Yaliyojiri Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA - Mwanza

    Hayo si mapenzi tena ni mahaba kasema mwenyewe
  12. D

    Unaweza kutueleza ni kwanini unaichukia CCM?

    Hata hao wakichaguliwa changamoto zilezile kila mmoja ni kuchumia tumbo lake na watoto wake tu
Back
Top Bottom