huyo waziri wa utamaduni hana mamlaka ya kuifungia ngoma ya Roma msanii msomi anyejua ni nini maana ya sanaa' Safi sana Roma mtoto wa mkulima zidi kuandika vitu vya maana kama hivyo. Wimbo nimeusikia na niimeununua kwa buku tatu tu. Fanyeni hivy dogs kwani ndivyo tunavyotambulika na hao...
hamna lolote ni ulimbukeni tu na ujinga, kwani hamna uhusiano wa hasira na kuvuta sigara. Bora KUVUTA BANGI KULIKO kuvuta sigara kwani ina chemical sana..(
wana m4c wanachokipigania ni wananchi wa tanzania kuelezwa ilikuwa kuwa aje mpaka tukaungana na sio mengine. Unajua watanzania wengi wao wanachojua ni kuchanganywa kwa udongo basi,,; kumbe nyuma ya pazia kuna mengi..(
hawana alama yoyote, ila mimi mwana mke wangu wa kwanza kujamiana naye k -yake haijabadilika ipo vilevile mnato..
ILA eti nimesikia akija jifungua tu lazima iongezeke, nikafanya utafiti kwa wakubwa zangu wakaniambia kuwa ni lazima iongezeke akijifungua kupitia uke.. Akitaka uke wake usiongezeke...
:shetani: ACHA KOROPOKA CHALII YANGU KWANI INGEKUWA NI WW, BABA YAKO NI RAIS UNGEJENGA CHUMBA KIMOJA TU. KAA UKIJUA KUA YEYE ANA NAFASI KUBWA SANA YA KUPATA MICHONGO TAZANIA NA NJE YA TANZANIA
NI HILO TU TAFAKARI
YEYE KWA DAKIKA KU DEPOSIT MAMILION SIONI JAMBO LA AJABU:flypig:
Sisi walipa kodi ndo tuna athirika, ila mafidi wata enda kwenye hospital zao wanazo miliki kwa kuzombea huko dawa zetu..ILA ipo siku tu yataisha kwani hamna marefu yasiyo na mwisho..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.