Unaweza ukadhani kuwa ni mtu sahihi kwako,ukampenda,kumjal kwa kila hali,kumheshim na kuthamini lakini mwisho wa cku yanajiridia yaleyale, kwa kweli inaumiza sana hadi unakata tamaa
Habari wana JF,
Miezi kama miwili hivi iliyopita kuna jirani yangu alikuja nyumbani akaniomba nimkopeshe laki sita kwani ana matatizo ya kifamilia na aliahidi kuwa akipokea mshahara mwez unaofuata atanirudishia.
Mimi bila kinyongo nilimpa ile ela na niliamin atanirudishia kwan anaonekana ni...
Habari za asubuhi wandugu. Mbunge wa CCM Mtwara mjini Murji jana kagawa elfu ishirini ishirini kwa vijana wa mtaa wa kizota hapa Mtwara na kina mama na wazee kuambulia kofia, tisheti na elfu tano tano. Hayo yamefanyika wakati mbunge huyo alipokuwa akifunga kampeni za CCM mkoani hapa. Kazi kweli...
Habari wana JamiiForums. Nina mchumba mwanajeshi ambaye kwa sasa yupo mkoa tofauti na mimi.
Uchumba wetu una miaka miwili sasa.
Mwanzoni tulikuwa tunawasiliana vizuri lakini ghafla mawasiliano yakawa magumu kwa upande wake, kwani wakati mwingine nikimpigia simu hapokei na nikimtumia meseji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.