Recent content by dontgiveup

  1. D

    Majeruhi wa mapenzi, tushauriane tufanye nini

    Unaweza ukadhani kuwa ni mtu sahihi kwako,ukampenda,kumjal kwa kila hali,kumheshim na kuthamini lakini mwisho wa cku yanajiridia yaleyale, kwa kweli inaumiza sana hadi unakata tamaa
  2. D

    Amenisomesha, kaninunulia gari lakini sina mapenzi naye

    Hivi dada una akili timamu kweli? Af unajiita msomi? Wasomi hawapo kama wewe, shame upon you! Nenda kwa huyo sharo uone mziki wake!
  3. D

    Jirani yangu niliyemkopesha anataka kunidhulumu, Nifanyeje arudishe pesa yangu?

    Nimekusoma mkuu Tyta nitajaribu kufanya hivyo, nashukuru sana wadau kwa ushauri wenu
  4. D

    Jirani yangu niliyemkopesha anataka kunidhulumu, Nifanyeje arudishe pesa yangu?

    Habari wana JF, Miezi kama miwili hivi iliyopita kuna jirani yangu alikuja nyumbani akaniomba nimkopeshe laki sita kwani ana matatizo ya kifamilia na aliahidi kuwa akipokea mshahara mwez unaofuata atanirudishia. Mimi bila kinyongo nilimpa ile ela na niliamin atanirudishia kwan anaonekana ni...
  5. D

    Majirani na rafiki wa mke wangu wanadai nimehusika kuchota mabilioni ya escrow

    Tumewazoea, mnapenda sana kujisifia na kujikweza
  6. D

    CCM kwachafuka,mchawi anatafutwa

    Rushwa wanatoa na bado wanapigwa chini,inauma sana.R I P CCM
  7. D

    Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

    Habari za asubuhi wandugu. Mbunge wa CCM Mtwara mjini Murji jana kagawa elfu ishirini ishirini kwa vijana wa mtaa wa kizota hapa Mtwara na kina mama na wazee kuambulia kofia, tisheti na elfu tano tano. Hayo yamefanyika wakati mbunge huyo alipokuwa akifunga kampeni za CCM mkoani hapa. Kazi kweli...
  8. D

    Huyu ndio mpenzi nilie nae

    Kama hivyo vitu havifanyi kwako basi kuna mwenzako anfanyiwa,akili kichwani
  9. D

    Naomba ushauri

    Nashukuru sana wana jf kwa mawazo yenu.nitayafanyia kazi
  10. D

    Naomba ushauri

    Habari wana JamiiForums. Nina mchumba mwanajeshi ambaye kwa sasa yupo mkoa tofauti na mimi. Uchumba wetu una miaka miwili sasa. Mwanzoni tulikuwa tunawasiliana vizuri lakini ghafla mawasiliano yakawa magumu kwa upande wake, kwani wakati mwingine nikimpigia simu hapokei na nikimtumia meseji...
  11. D

    Mwanamke ni kiumbe katili kuliko hata unavyofikiria

    Ukatili wa mwanamke unasababishwa na mwanaume hasa kwenye suala zima la mapenzi, na mifano hai ipo
Back
Top Bottom