Make him do what you want...muwekee mazingira kwa kufanya wewe ndio tatizo,as long umesema unampenda die on his hands.....but kwa haraka wewe ndio tatizo,true love never counts bads but goods,kma unafikia hatua ya kuanisha hutojal hata kama akikufanyia zuri lipi,,kwa upande wa pili mapenz huja automatic cha kukushaur tafuta relation nyingine am sure 100 petrcent hapo ulipo sio sahihi na ndio mana huridhiki hata kwa kidogo anachokupa so kuliko kuendelea kusbir mvua wakat hakuna mawingu fanya maamuz magumu now....
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums