Tumelia sana, tumeomboleza sana, tumesikitika sana, sasa tuamke usingizini kuanzia Leo.
✍🏿 21/05/1996 tulipatwa na janga kubwa sana la kuzama kwa MV Bukoba iliyo tengenezwa tangu 1979 ikawa imefanya kazi kwa miaka 17 ndipo ikazama ziwa Victoria.
✍🏿MV Bukoba ilikua na uwezo wa kubeba watu...
Mbunge wa Upinzani nchini Uganda ambaye pia ni mwanamuziki, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine ambaye anadaiwa kupigwa na kuteswa baada ya kukamatwa mapema mwezi huu, inasemekana amezuiwa kuondoka kwa ajili ya kwenda kupata matibabu nje ya nchi.
Kwa mujibu wa BBC akizungumzia kukamatwa...
Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnagangwa amteua Mkuu wa Majeshi wa Tanzania Mstaafu, Jenerali Davis Mwamunyange katika Tume ya Kutathmini athari za ghasia zilizotokea wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Jenerali Mwamunyange ambaye alikuwa mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa miaka 10...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewatoa nje Makamanda zaidi ya 30 kwa kosa la kutaja Jeshi la Zimamoto bila kumalizia ‘na Uokoaji’ ambapo amesema hilo jeshi lao halitambui.
Hali hiyo imejitokeza leo Alhamisi Agozti 30, jijini Dodoma kwenye ufunguzi wa kikao cha mwaka cha...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola amewaonya wakuu wa mikoa na wilaya kutotumia vibaya sheria na kuwaweka ndani wananchi. Amesema Serikali ya Awamu ya Tano haitakubali wananchi wanyanyaswe.
Agosti 14, 2018 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...
Rais Donald Trump wa Marekani amekutana na mwezake wa Kenya Uhuru Kenyatta mjini Washington na kuzungumzia masuala mbalimbali, zaidi wakiangazia biashara na usalama.
Kwa mujibu wa taarifa ya ikulu ya Marekani, wakati wa ziara hiyo mataifa hayo mawili yalikubaliana na kutangaza mikataba ya...
Menelik II (17 Agosti 1844 – 12 Desemba 1913) alikuwa mfalme mkuu wa Uhabeshi kutoka 1889 hadi 1913. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Sahle Miriam.
Alikuwa mtemi (Ras) wa jimbo la Shoa kati ya 1865-1889. Akashinda katika mvurugo baada ya kifo cha Yohane IV kwa msaada wa Italia akakubaliwa...
Mfalme menelik II a.k.a Dagmawi sahle maryam menelik alikuwa mtawala wa Ethiopia kati ya 1889 hadi 1913 ambapo alianza kama mtawala wa eneo la shewa kuanzia 1866-1889. Alizaliwa mwaka 1884 na kufariki mwaka 1913 na inaelezwa alitoka kizazi cha uzao wa Queen of sheba (Makeda) na Mfalme suleiman...
Kwa ufupi
Kuna fununu kwamba jeshi linaweza kumsimika jenerali huyo wa zamani kuwa mkuu wa serikali huku Mugabe akibaki mtu mwenye cheo asiye na mamlaka.
Harare, Zimbabwe. Rais Robert Mugabe aliyetawala Zimbabwe kwa miaka 37 amekamatwa na jeshi na kuwekwa kizuizini, chama tawala cha Zanu-PF...
Wabunge wengi wa CCM wakianza kutumia akili zao na kwenda kama wawakilishi wa wananchi BUNGENI na sio kama sasa hivi wana akili za kuwakilisha chama wakaanza na kuisimamia pamoja na kuikosoa Serikali kama Hivi tutafika mbali sana nasio kila kitu ku support tu Wakiamini kila kitu kitapitishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.