JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..mbona wakati wakipitisha BAJETI wabunge wa CCM walikuwa wakimsifia Dr.Mpango?
..sasa tangu bajeti imepitishwa na sasa hivi Dr.Mpango amekuwa mtu mbaya, mwenye kiburi na asisikiliza ushauri wa wabunge?
..kwanini imekuwa ghafla namna hii?
..nina hakika mkienda youtube mtakuta video za Mh.Hussein Bashe akimwagia sifa kemkem Waziri wa Fedha Prof.Mpango.
..Pia wakati wa ziara ya Raisi mkoani Kigoma Mh.Serukamba alipewa nafasi ya kuzungumza na alisifia sana utendaji wa serekali ya awamu ya 5. Sasa inashangaza kwamba miezi michache baadaye anaanza kuilaumu serekali ileile aliyokuwa akiisifia.
Cc Pohamba, tindo, Magonjwa Mtambuka
..sasa tangu bajeti imepitishwa na sasa hivi Dr.Mpango amekuwa mtu mbaya, mwenye kiburi na asisikiliza ushauri wa wabunge?
..kwanini imekuwa ghafla namna hii?
..nina hakika mkienda youtube mtakuta video za Mh.Hussein Bashe akimwagia sifa kemkem Waziri wa Fedha Prof.Mpango.
..Pia wakati wa ziara ya Raisi mkoani Kigoma Mh.Serukamba alipewa nafasi ya kuzungumza na alisifia sana utendaji wa serekali ya awamu ya 5. Sasa inashangaza kwamba miezi michache baadaye anaanza kuilaumu serekali ileile aliyokuwa akiisifia.
Cc Pohamba, tindo, Magonjwa Mtambuka