Habari za saa hizi jamani Nina ndugu yangu yupo mwaka wa tatu ,huyu ndingu yangu ujuzi wake zaidi ni katika water supply project, water treatment, waste water treatment , sanitation projects , solid waste nk. naomba msaada jinsi ya kupata field yaani mafunzo kwa vitendo katika migodi kama acacia...
Hapo kuna watu wanapiga pesa , team ni ya taifa na uwanja in was taifa kama yeye mkuu wa mkoa anauchungu na team kwa nn asiwaruhusu watanzania waingie bure , wakajaze uwanja washangilie team yao
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi ww unaakili kweli ww , ukifeli form four sis tunajuwa ww kilaza hata ukienda riskti ukifaulu bado ww ni kilaza , ndo mfano wa huyo mahia ameshafeli club bingwa ametolewa so hyoo ni kilaz huwezi fananisha na simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Husika na kichwa cha habari hapo juu naamini viongozi wakubwa wa simba wapo humu kwa hyo kama shabiki toa maoni yako kuelekea mchezo huo kuanzia kikosi kianze kipi na wachezaji wapeni ushauri wafanye nn kuelekea mchezo huo ambao ni muhimu kwetu sisi wote kama washabiki na wapenzi wa simba .simba...
Kama kawaida wa Kimaitaifa leo tumeshapangiwa group letu lenye timu kutoka Uarabuni moja na Congo moja.
Toa ushauri wako tufanyaje tuweze songa mbele katika hatua ya robo fainali na nusu na kisha kulichukua kombe zima tulilete Msimbazi
Karibuni wana SIMBA
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Jana nimeumia sana ni heri kujitoa katika kombe la mapinduzi kuliko kuchezesha wachezaji walevi.maana nasikia eti tunagawnya kikosi chezesheni kikosi cha kwanza jamani sisi tunaumia sana washabiki yanga wanatucheka sana yaani huku mtaani Jana hatukulala tunaomba mtuchezeshee wachezaji wetu...
Husika na kichwa cha habari hapo
Huyu kocha wa Simba ana dharau sana hawezi kutupangia kikosi cha kijinga kama kile. Hizo zote ni dharau kwa mfumo huu Simba hatutafika popote; ligi hatachukua na hata huko Africa tutatolewa mapema sana.
Kwa dharau ya leo tumeumia sana aisee tunachekwa sana...
hivi nyie vyura mtacha lini ushoga.Jana mkana alivyoshinda gori la kwanza mlishangilia mpaka wengne mlijinyea. Lakin mkubwa chama alivyo wakalisha wanaume zenu red devils mkanza kija kwa simba kutafuta ndoa .sasa HV sisi sio wenzenu sisi wa kimataifa .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.