hivi ww unaakili kweli ww , ukifeli form four sis tunajuwa ww kilaza hata ukienda riskti ukifaulu bado ww ni kilaza , ndo mfano wa huyo mahia ameshafeli club bingwa ametolewa so hyoo ni kilaz huwezi fananisha na simba
Sent using Jamii Forums mobile app
Full time
Gor Mahia 1
Petro de Luanda 0
Tunabanana humu hadi mtoto azaliwe tujue wa nani.
Simba kule Dar hakukaliki wanavyobeza mashabiki wa Yanga.
hivi michuano ya sportpes watazamaji huwa wanafika hata nusu ya uwanja wa mkapa? si ukiona ivyo hatudeal na mabonanza, tupo makini na vitu vitakavyo tufikisha sehemu fulani kumbuka kuwa mpaka sas tz imeshaongezew timu za kushiliki michuano ya caf na kama simba akiingia nusu fainali tz itapeleka timu nne kwenye mashindano ya cafSasa vile Zamalek hawakufaulu CAF champions league ina maana Simba ni mababe kuwaliko? Hiyo Simba ukiondoa Meddie Kagere ni paka tu. Bandari iliwanyorosha sportpesa., robo fainali yenye wameingia kibahati baada ya kufungwa magoli mengi ni mwisho wa Simba., ngoja mpewe TP Mazembe.,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mchezo una approach yake, hapa tulikua tunapambania points. huwezi kufika hatua ya makundi kwa bahati halafu tena uchukue point 9!! Then uingie robo fainali. Hii siyo kamali msee watu wanatoa jasho uwanjani. Hiko kikombe cha sportpesa timu za Simba na Yanga hazijawahi kukichukulia serious sijui kwanini. Simba waliyatumia mashindano yaliyopita kama sehemu ya kuwajaribu wachezaji wapya wakimataifa ambao mwisho wote wali fail trials! Swala la Kagere kuwa Simba ni bora usilizungumzie, ni aibu kwa timu ambayo ni kubwa kwenu kukimbiwa na top striker. Tuyisenge na Kahata na wenyewe wapo karibu na simu zao kungoja offer ya Simba.Sasa vile Zamalek hawakufaulu CAF champions league ina maana Simba ni mababe kuwaliko? Hiyo Simba ukiondoa Meddie Kagere ni paka tu. Bandari iliwanyorosha sportpesa., robo fainali yenye wameingia kibahati baada ya kufungwa magoli mengi ni mwisho wa Simba., ngoja mpewe TP Mazembe.,
Sent using Jamii Forums mobile app
Gor wapo ligi ndogo, huu uzi nikama kulinganisha faidi ya KCB Vs HSBC au uzuri wa Bujumbura Vs BeijingFull time
Gor Mahia 1
Petro de Luanda 0
Tunabanana humu hadi mtoto azaliwe tujue wa nani.
Simba kule Dar hakukaliki wanavyobeza mashabiki wa Yanga.
Nani aliibeza Gor Mahia wewe mkikuyu? Simba na Gor Mahia zinawakilisha ukanda huu.Full time
Gor Mahia 1
Petro de Luanda 0
Tunabanana humu hadi mtoto azaliwe tujue wa nani.
Simba kule Dar hakukaliki wanavyobeza mashabiki wa Yanga.
Hakunaga bahati kwenye professional soccer. Umejipanga vibaya umepoteza.. umejipanga vizur unashindaSasa vile Zamalek hawakufaulu CAF champions league ina maana Simba ni mababe kuwaliko? Hiyo Simba ukiondoa Meddie Kagere ni paka tu. Bandari iliwanyorosha sportpesa., robo fainali yenye wameingia kibahati baada ya kufungwa magoli mengi ni mwisho wa Simba., ngoja mpewe TP Mazembe.,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nahisi harusu ya ajabu ajabu hapa kumbe ni kinyesi cha mtu......
Jombaa kabla uanze kuwapa wakenya lecture kuhusu michezo, hebu tuletee ranking za FIFA tujionee nafasi za Kenya na Tanzania duniani. Alafu hapo tunaongea kuhusu soka tu. Ukimaliza cheki kuhusu riadha kwa IAAF, rankings za raga kwa IRB, kwenye mpira wa wavu pia na ukiwa na muda umalizie kwenye Hockey na Cricket.Gor wapo ligi ndogo, huu uzi nikama kulinganisha faidi ya KCB Vs HSBC au uzuri wa Bujumbura Vs Beijing
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua tofauti ya CAF confederation cup na CAF champions league...Jombaa kabla uanze kuwapa wakenya lecture kuhusu michezo, hebu tuletee ranking za FIFA tujionee nafasi za Kenya na Tanzania duniani. Alafu hapo tunaongea kuhusu soka tu. Ukimaliza cheki kuhusu riadha kwa IAAF, rankings za raga kwa IRB, kwenye mpira wa wavu pia na ukiwa na muda umalizie kwenye Hockey na Cricket.
Naona ni kama umeniandalia maelezo chungu nzima, sitakuvurugia hii fursa adimu na ya heshima kupindukia, ya kunielimisha. Acha niseme kwamba sijui.Unajua tofauti ya CAF confederation cup na CAF champions league...
Sent using Jamii Forums mobile app