Kisesa, usagara nyashishi zote ni miji mipya na unapata access ya barabara. Umeme upo barabara kuu, maji ndo kazi. Maana makazi si mengi Sana. Sasa inategemea na eneo lako la kazi lilipo.
Hii kitu iliwahi nikuta!!
Nilisoma bila mkopo wowote, halafu nimekuja ingia kwenye ajira natumiwa email na loan board as nadaiwa tsh 9m!! Nilishangaa sana!!
Nilichokifanya, nilimpigia hr, na kumwambia sijawahi pata mkopo wa chuo, HR akasema niwasiliane na watu wa board, nikaomba contact zao...
Mmekaa nyumbani miaka mingapi baada ya kumaliza chuo kwanza??
Kuna watu mmewakuta nyumbani wana miaka mitatu hawajapata ajira!! Wao nao wasemeje?? Wakiajiriwa wao, nanyi mtafuata!!!
Kingine, wakati mnasoma, kuna sehemu mlisaini mkataba as mkimaliza serikali itawaajiri??
Halafu, mnaposema zoom...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.