Wanapapenda pasipo na maendeleo cz pasipo namaendeleo kwanza hakuna wasom na mtu akikosa elimu uta m buruza mpaka utakapo choka ndomana asilimia kubwa ccm vijijin ndo wko juu mana nikazi rahisi kumdanganya mjinga na nikazi kubwa kumuelimisha mjinga kma amedanganywa
Ukiona mwanasiasa hoja yke udin ujue hana hoja ya kuwakomvisi watu na nidalili ya kuishiwa hoja inshort dunia inaendeshwa kikristo jpo mm muislamu na ilo liko wazi
Ulie post iyo habar ww muongo liss ana mamlaka ya kuwakataza wabunge wa chadema na m bunge anaweza akaenda kma mtu wa kawaida msikipe pro act kwakupitia mgongo wa chadema
Nilichokiona mm nikumkomaza kisiasa na kumpa changamoto tu kma kweli chadema wako siriazi wangesha fanya taratibu zote sema nao awajiamin cz wanajua umuhimu wke asa kwa wakati huu wa tuhuma za escrow
Siamin mtoa hoja kma kafikiria vizuri kuhusu burudan japo mm chadema dam simuungu mkono cz moja ya sifa ya nyimbo nikuburudisha au kukufundisha na kukuelimisha so labda wameweka kwaniaba ya kukuburudisha tu na sio vinginevyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.