Murukulazo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 574
- 221
Hivi bado kuna watu wanaisikiliza hii redio?kweli?
Si lazima kununua hata radio au tv ZAWEZA TOA DONATION BURE AIR TIME!!!! WAWEZA OMBA NA UKAPEWA MUDA WA BURE!!!
Hawajifunzi kwa Juma Nature, hawajifunzi kwa akina Masanja mkandamizaji kwa kukubali kutumika na Tawala kilichowapata?
Umenena mkuu, umemsahau Marlaw.
Wakuu nasikia mmiliki wa hiyo redio na clouds tv ni rugemalila ni kweli ama..
Ata nyimbo za Prof Jay na Afande Sele hawazipigi tena sababu wameenda chadema.
Umofia kwenu wana JF,
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu hiyo radio kutumikia ccm,leo nikiwa kwenye daladala,nimesikia kwa masikio yangu,clouds fm ikipiga nyimbo za kampeni za ccm kujiandaa na uchaguzi mkuu, TCRA naomba ufafaunuzi kutoka kwenu,nakumbuka Ruge mkurugenzi wa clouds alisema radio yao wameisajiri kwa malengo ya burudani,sasa iweje kwa sasa wawe wanafanya promotion live za chacha cha ccm au wameupdate leseni yao? Najua chama wanaweza wakanunua kipindi kwa ajili ya malengo ya kufikisha ujumbe katika radio yeyote lakini kile kipindi kilikuwa sio cha chama ni cha kila jumamosi.
Alikuwemo Komba studioni eti ndiyo alikuwa akitambulisha single ya uchaguzi mwaka huu.
Hii ndiyo taabu ya wanawake, mfano Mimi Leo hii nipo home maana ni weekend no job hivyo nipo nafamilia ndiyo nakuta wife kaweka Cloudccm hawa na ndiyo yamenikuta haya kusikiliza ujinga wa akina Komba. Clouds nilishawapuuza toka muda mrefu na U-CCM wao huo.