yeah kweli maana hata sasa uchumi tayari ushayumba maana kuna walala hoi adi leo nyumba zao zimeishia kwene foundation tu.. huku milo nayo ikizidi kuwa taabu mitaani kipato kwa siku elf 5 matumizi ya lazima elf 10 kwa stairi hii uchumi kweli utapanda..!!?
Kwanza we sio star.... star ndo nn kwani kwan we mgeni hapa hujui viwanja au ndo umetoka juzi kijijini na jela zako za msimu umekuja kusumbua watu mjini... wakuja rudi bush...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.