Habari wanajamvi!
Katika pitapita zangu nimekutana na kitabu cha daktari mmoja anaitwa Dkt. Dyaboli. Kitabu kinaitwa JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE YEYOTE UKAMPATA.
Sasa wakati nafuatilia kutaka kumjua zaidi huyu daktari kuna jamaa zangu wako Kenya huko wakaniambia huyu daktari ni mkenya, na...
Mkuu soma kitabu cha Dkt. Dyaboli kinaitwa JINSI YA KUMTONGOZA MWANAMKE YEYOTE UKAMPATA: Mbinu 7 Rahisi zilizosaidia mamilioni ya wanaume duniani kote. Hakuna demu anaweza kuchomoa ukitumia madini ya humo ndani. Mimi ni shuhuda niliye hai, hawachomoi kaka
Illuminati ndio ilianzia Bavaria, na kimsingi Illuminati na Freemason ni jamii mbili tofauti, ingawa illuminati wameweza kupenyeza kwa siri members wao kwenye karibu societies na institutions zote kubwa duniani. Hii ni kusema hata ndani ya Freemason wamo members wa Illuminati. Sijui kama...
Mkuu tunaposema Freemason ni Secret Society hatumaanishi ni Jamii ya Siri; tunamaanisha ni Jamii Yenye Siri. Ndiyo maana jamii inafahamika na hata baadhi ya members wake wanafahamika, lakini yanayofanyika ndani ya hii jamii ndiyo hayafahamiki kwa wasio wanachama zaidi ya speculations na...
Kwenye kitabu cha WASOMI WAJINGA, mwandishi Dkt. Dyaboli ameweka wimbo aliouita Wimbo Mtakatifu wa Makanjanja. Ni wimbo ambao ukiusoma kwa akili kubwa utagundua unatia hasira kwasababu unazungumzia hii mikopo ya masharti nafuu tunayopewa pamoja na masharti yanayofungamanishwa na mikopo na...
Kabisa mkuu. Huyu atakuwa mwalimu wa shule ya msingi. Hajajua bado mchezo wa siasa unavyochezwa. Pengine akisoma hiki kitabu hapa kinaweza kumsaidia kuelewa walau kidogo
Mkuu mawazo yako kama nayaona kwenye hiki kitabu kinachopigwa vita vya Wasomi Wajinga. Humu ndani kama mwandishi anatoa siri nyingi sana za CCM. Nafikiri ndiyo sababu hiki kitabu wamekipiga marufuku na mwandishi wake Dkt. Dyaboli hajulikani aliko mpaka sasa
Ndani ya kitabu cha Wasomi Wajinga Dkt. Dyaboli anasema ' Watawala ndio wanaoruhusiwa kufikiri. Wajibu wa watawaliwa ni kufanya kile kinachoipendeza serikali, sio kinachowapendeza wao.
Mambo ni mengi mkuu, ila nasikia sababu ya kuvipiga marufuku ilikuwa ni ileile iliyofanya kitabu cha Wasomi Wajinga kikapigwa marufuku. Fuatilia mkasa wa huyu Dokta utapata kitu
Kuna dokta mmoja pale Muhimbili aliniambia huyu Dkt. Dyaboli alifukuzwa kazi pale Mhimbili miaka kadhaa nyuma kwasababu ya uandishi wake, hasa hicho kitabu cha Wasomi Wajinga.
Ila juzi kati hapa nimeskia eti jamaa alikamatwa kimyakimya na wanausalama kwa madai kwamba kitabu chake kinachochea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.