Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,598
- 8,729
Naomba moderator usifute maana unaweza kuwa sehemu kupiga marufuku hapa JF.
Hiki kitabu nilikujua baada ya kusoma kama kile kitabu cha kusadikika na mfalme juha ndio nikapata kuelewa hiki kitabu cha Kaptula la Marx .
Kwa nini vitabu hiki kilipigwa marufuku bila sababu na vile kilichoandikwa na shaaban robert kama vilifutwa kwenye elimu hii wanayosoma.watoto.
Hiki kitabu nilikujua baada ya kusoma kama kile kitabu cha kusadikika na mfalme juha ndio nikapata kuelewa hiki kitabu cha Kaptula la Marx .
Kwa nini vitabu hiki kilipigwa marufuku bila sababu na vile kilichoandikwa na shaaban robert kama vilifutwa kwenye elimu hii wanayosoma.watoto.