Mie ni mtumiaji wa huduma ya DSTV na sijawahi kukutana na hilo tatizo hata mala moja ndio kwanza nasikia kwako mkuu, tatizo ambalo wanalo DSTV ni kipindi cha mvua huwa inasumbua wakilekebisha hilo DSTV is the best among the Best hana mpinzani TZ.
Hiki chama kinachojiita Chadema hakina jipya,kimeshafilisika kisiasa, maana tangu kianzishwe sijawahi kuona zuri kilichofanya kwa Watanzania zaidi ya chuki, ubinafsi, na uchochezi, na nina wasiwasi hata hizi vurugu za Mtwara kuna mkono wa Chadema..... Sie yetu macho bana tutaona nini mwisho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.