Kati ya baba na mama wewe unampenda nani?

Kati ya baba na mama wewe unampenda nani?

Kwangu mama ni zaidi ya kitu chochote katika maisha yangu. Ingawa Baba yangu alishatangulia mbele ya haki.
 
mimi napenda wote, japo kila mtu namkumbuka kwa wakati wake hasa kipindi hiki hawapo tena duniani... kuna kipindi unakumbuka angekuwapo baba au angekuwapo mama... Mungu muweza wakila kitu... Mungu warehemu wazazi wangu...
 
Wewe kama mimi baba ni zaidi ingawa kashaniponda sana nilipokuwa mdogo lakini namkubali zaidi
.

mimi toka niwe na akili
kipondo nilikipata kwa bi mkubwa tu
mshua hajawahi kunigusa na ilikua mama
akinichapa ni ugomvi!

 
Oedip complex inasema wanaume wanawapenda mama zaidi, wanawake wanawapenda baba zaidi. Voila!
 
Mambo vipi mtu wangu wa nguvu, kama kawaida ni siku nyingine tena ambayo Mungu ametujalia kuiona tayari tunaendelea kubofya keyboard japo wengine tumesahau hata kumshukuru asubuhi kwa uzima na ulinzi aliotupa.
Hope mko poa na mupo bize si unajua life goes the way yo direct it!

Back to the Topic: Kati ya baba na mama (wazazi) wewe unampenda nani?
Mimi Binafsi nimejikuta nampenda sana mama yangu kwani aliyonitendea ni makubwa sana, ni stori ndefu haimanishi
baba hayupo, hapana yupo na wanaishi wote na wanaelewana na ndoa yao ni ya miaka mingi. Lakini katika maisha
yangu mama amekuwa nguzo kuu na amekuwa na upendo ambao sijawahi kuuona popote pale, kwani nikipata shida
mama yangu lazima augue, '' mwaka 2003 nilikosa ada ya sekondari, nilimkuta mama analia sana, nikamwuliza mama
imekuwaje? akasema Mwanangu nimekosa pesa hata ya nauli ya kwendea shule, Mungu alivyo mwema nilikuwa
tayari nimeshafanya vibarua kwa masista wakawa wamenisupport, nilipomwambia ninayo daah! akafuta machozi"
....yapo mengi aliyoyafanya mama juu yangu, so mpaka sasa nampenda sana mama kuliko hata baba na siku zote
namkumbuka sana mama kuliko baba", SO I LOVE MY MUM than MY DAD, WEWE JE?

Hapa nakufundisha nini?
Katika maisha jaribu kuwajibika hususani ukiwa man ili uweze kuweka alama ktk familia yako, alama ya upendo,
alama ya kuheshimika na kuthaminika, tusiwaachie wanawake majukumu ya familia, aibu itakuja uzeeni pindi watoto wakifanikiwa, Si mnamwona Diamond na Baba yake? Marehemu Kanumba(R.I.P the great) na Baba yake?

MUNGU AWABARIKI WOTE, ASUBUHI NJEMA

we usifikiri kuwa baba yako alikuwa haumii pindi akishindwa kutatua matatizo yako ww, wazazi wote huwa wanaumia pindi watakaposhindwa kutimiza wajibu wao katika familia sema wazazi wakiume huwa hawaonyeshi hisia zao wazi kama kulilia ila kwa wazazi wakike huwa wanashindwa kuzui hisia zao ndipo hapo utakapomuona mama wa muhimu kuliko baba, japokuwa baba na yeye anaumia kama mama au zaidi ya mama.

Mi nawapenda wazazi wangu wote.
 
Ampendaye adui yake huyo ndiye mwenye upendo wa kweli kinyume chake mnajifunza kupenda.
 
Mi nampenda mama zaidi.ana upendo wa dhati kwangu, yupo tayari kujinyima yeye ili mimi nisipate shida. Nani kama mama??
 
Mambo vipi mtu wangu wa nguvu, kama kawaida ni siku nyingine tena ambayo Mungu ametujalia kuiona tayari tunaendelea kubofya keyboard japo wengine tumesahau hata kumshukuru asubuhi kwa uzima na ulinzi aliotupa.
Hope mko poa na mupo bize si unajua life goes the way yo direct it!

Back to the Topic: Kati ya baba na mama (wazazi) wewe unampenda nani?
Mimi Binafsi nimejikuta nampenda sana mama yangu kwani aliyonitendea ni makubwa sana, ni stori ndefu haimanishi
baba hayupo, hapana yupo na wanaishi wote na wanaelewana na ndoa yao ni ya miaka mingi. Lakini katika maisha
yangu mama amekuwa nguzo kuu na amekuwa na upendo ambao sijawahi kuuona popote pale, kwani nikipata shida
mama yangu lazima augue, '' mwaka 2003 nilikosa ada ya sekondari, nilimkuta mama analia sana, nikamwuliza mama
imekuwaje? akasema Mwanangu nimekosa pesa hata ya nauli ya kwendea shule, Mungu alivyo mwema nilikuwa
tayari nimeshafanya vibarua kwa masista wakawa wamenisupport, nilipomwambia ninayo daah! akafuta machozi"
....yapo mengi aliyoyafanya mama juu yangu, so mpaka sasa nampenda sana mama kuliko hata baba na siku zote
namkumbuka sana mama kuliko baba", SO I LOVE MY MUM than MY DAD, WEWE JE?

Hapa nakufundisha nini?
Katika maisha jaribu kuwajibika hususani ukiwa man ili uweze kuweka alama ktk familia yako, alama ya upendo,
alama ya kuheshimika na kuthaminika, tusiwaachie wanawake majukumu ya familia, aibu itakuja uzeeni pindi watoto wakifanikiwa, Si mnamwona Diamond na Baba yake? Marehemu Kanumba(R.I.P the great) na Baba yake?

MUNGU AWABARIKI WOTE, ASUBUHI NJEMA
On top of that,hivi kuna kaukweli dat watoto wa kiume huwa close na mama zao wakati watoto wa kike huwa karibu with their dads?
 
I think sumtyms it depends,kuna wale ambao wameishi na single parents almost maisha yao yote definitely huyu atakwambia anampenda huyo mzazi aliyemlea. Kwa wale wenye both parents,most of the times anayependwa zaidi ni yule anayekuwa ana impact kubwa ktk ur life thou its hard to say unampenda nani zaidi lakini moyoni unakuwa unajua..
 
Mimi nampenda baba 20%, na namchukia 80%

Na mama simpendi kabisa, simpendi 99,5%

Nampenda bibi mzaa mama 100%, alikuwa mwenye huruma, mkarimu
 
Nampenda zaidi baba japo kaniumiza sana lkn nampenda. Mama namuheshimu lkn sina upendo nae iko sababu iliyosababisha kuwa hivi. Nampenda sana baba japo ametangulia mbele ya haki na kila nikimkumbuka machozi yananitoka.
 
Nmapenda mama yangu kuliko kitu chochote, mama yangu alikuwa ni kila kitu kwangu, hajatoeka mtu mwingine kama yeye, nilimpenda, nampenda na nitampenda ever, R.I.P my dear mammy, daima nitakukumbuka na kukuombea.
Sina hakika kama niliwahi kupenda baba yangu, i'm not sure kwakeli
 
we usifikiri kuwa baba yako alikuwa haumii pindi akishindwa kutatua matatizo yako ww, wazazi wote huwa wanaumia pindi watakaposhindwa kutimiza wajibu wao katika familia sema wazazi wakiume huwa hawaonyeshi hisia zao wazi kama kulilia ila kwa wazazi wakike huwa wanashindwa kuzui hisia zao ndipo hapo utakapomuona mama wa muhimu kuliko baba, japokuwa baba na yeye anaumia kama mama au zaidi ya mama.

Mi nawapenda wazazi wangu wote.

ok, am not sure! coz ukiacha ma dad, nimeona wanaume wakikimbia wakati wa njaa na kuwaachia wanawake
 
Ili swali limekaa kifesibuku zaidi, peleka kunakohusika.
hapana sijakopi mtu wangu, kawaida huwa nakuwa creative, yani kukopi na kupaste unalemaza ubongo! wewe si unaona wengi wamefunguka ndugu
 
we usifikiri kuwa baba yako alikuwa haumii pindi akishindwa kutatua matatizo yako ww, wazazi wote huwa wanaumia pindi watakaposhindwa kutimiza wajibu wao katika familia sema wazazi wakiume huwa hawaonyeshi hisia zao wazi kama kulilia ila kwa wazazi wakike huwa wanashindwa kuzui hisia zao ndipo hapo utakapomuona mama wa muhimu kuliko baba, japokuwa baba na yeye anaumia kama mama au zaidi ya mama.

Mi nawapenda wazazi wangu wote.

ok, am not sure! coz ukiacha ma dad, nimeona wanaume wakikimbia wakati wa njaa na kuwaachia wanawake
 
Back
Top Bottom