Salaam wapendwa, nimefuatilia mwenendo wa kampeni sehemu tofautitofauti unaonesha waziwazi kuwa upinzani unanufaika kwa ushawishi usioweza kulinganishwa na chama tawala... Pia UKAWA kufanya mikutano baada ya CCM kufanya nayo ni advantage nyingine.
Mfano kesho CCM wako Mwanza, hapo hapo UKAWA...
Mbowe ni mpiganaji katika nyanja zote iwe kiuchumi au kisiasa bila kusahau kijamii.
Kisiasa amekuwa akipigania masilahi mapana ya nchi kwa kutumia nafasi aliyopewa na wananchi ipasavyo na kwa uaminifu mkubwa hilo liko wazi.
Kijamii pia Mh. Mbowe amekuwa akishiriki bila ubaguzi katika masuala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.