Chama chako kimekuwa mstari wa mbele kupinga ufisadi na rushwa nakupongeza sana.
Kwa taarifa iliyopo katika baadhi ya vyombo vya habari ni kuwa na wewe ni kati ya mafisadi wanaotajwa/ kutajwa hadharani kuficha pesa huko ughaibuni.
Hii itakuwa ni hatari kwa chama chetu pendwa juu ya vita dhidi ya ufisadi so tunakuomba ikibainika uondoke na utuachie chama chetu.
Kwa taarifa iliyopo katika baadhi ya vyombo vya habari ni kuwa na wewe ni kati ya mafisadi wanaotajwa/ kutajwa hadharani kuficha pesa huko ughaibuni.
Hii itakuwa ni hatari kwa chama chetu pendwa juu ya vita dhidi ya ufisadi so tunakuomba ikibainika uondoke na utuachie chama chetu.