Mimi nipo kwenye huu mkoa wa Morogoro,mkoa uliobarikiwa kuwa na ardhi yenye rutuba inayokubali kila aina ya zao.Kwa kiasi kikubwa mazao mengi sana yanastawi,kuanzia Mahindi,Ndizi,Mihogo,Nyanya,Maharage,Mpunga,Ufuta,Alizeti,Kokoa,yapo mengi ila nimeyataja kwa uchache etc.Nimetembelea Wilaya ya...