Mdau Makin
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 767
- 207
Who Cares?
Nahtaji mashine ya miwa kaka
Nahtaji mashine ya miwa kaka
Ulipata? Zinagharimu kiasi ganiza mkono na kiasi gani za umeme?Who Cares?
Nahtaji mashine ya miwa kaka
Wakuu,
Ninatafuta mashine ya kutengenezea juice ya miwa. Kama unafahamu inapatikana wapi nakuomba unielekeze. Preferably ndani ya mipaka ya Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani.
Hivi huwa mnauliza baada ya kujiridhisha kuwa akaunti ya mhusika bado iko active?Habari Mkuu.
Vipi ulifanikiwa??
made in india 0654567777
2m. ila zipo china made 1.6mThanks. Wapi kwa Dar naweza kupata na Bei ikoje?
2m. ila zipo china made 1.6m
Inategemea mkuu, za mkono kuanzia laki mbili mpaka 5, za umeme kwa upande wa sido ni tsh 1m mpaka 1.5,zinazotoka nje ya nchi zinagharimu kuanzia 1.6 mpaka milion 8. Kazi kwako mkuuWadau kwa wastani hii mashine ya kukamua juice ya miwa inauzwa Sh ngapi?
Aisee hii mashine kweli,naona hizo rollers zake ni stainless sio zile za kibongo bongo rollers za alminium,made in india 0654567777
Nenda pale mobile plaza,jengo linalofuatia wanazo za kichina au hapa shekilango kwenye hayo maduka ya NSSf ingia ndani mle kuna kampuni inauza mashine za kila aina ikiwemo za miwaMkuu asante kwa Taarifa. Unaulizia kwa Dar naweza kupata Duka gani?
Au mpaka za kuagizia?
Nenda pale mobile plaza,jengo linalofuatia wanazo za kichina au hapa shekilango kwenye hayo maduka ya NSSf ingia ndani mle kuna kampuni inauza mashine za kila aina ikiwemo za miwa
Hahaha juice ya miwa ni nzuri pale inapotengenezwa hapo hapo na kunywewa hapo hapoAfikirie pia teknolojia nzuri na rahisi ya kusindika... vinginevyo juisi itageuka Kiroba Orijino...!!!
Shukrani sana kiongoziInategemea mkuu, za mkono kuanzia laki mbili mpaka 5, za umeme kwa upande wa sido ni tsh 1m mpaka 1.5,zinazotoka nje ya nchi zinagharimu kuanzia 1.6 mpaka milion 8. Kazi kwako mkuu