DADA KASOMESHWA NA MUME WA MTU HADI KAMALIZA SHULE.
Mume wa mtu kasomesha mdada hadi akamaliza shule.
Dada kamaliza Chuo kashapata mtu wake anamkataa mume wa mtu alomsomesha kwa sababu mara nyingi ukisomesha kadada lazima huko chuoni kakutane na mahendisamu wanaojua kuoga na kupaka mafuta...
Na kwann utoe kidogo ukiwa uwezo wa kumtoa kikubwa unao?
Hii kama shamba ukipanda vizuri ukazingatia shamba lako bas utapata mavuno mengi,kuusu kujua udongo sahihi sikiliza nafsi yako ukiona uyu anafaa kupata msaada mpe,nenda kwenye makambi ya kulea wazee,yatima, hospital na magereza izo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.