Asicho kijua n kwamba wazaz ndio Mungu wa pili apa dunian Sasa yeye mwache alete ujuaji alafu wazaz wafe aje kulia na walimwengu sababu apa dunian si alijileta yeye mwenyewe kashushwa tu kutokea mawinguni.
Usimlazimishe mtu akuelewe.
Watu sahihi wataona nia yako bila kulazimika kujieleza mara elfu. Sio kila mtu atatafsiri moyo wako kwa usahihi, na si kila mtu anahitaji kupata maelezo ya kila unachofanya.
Acha matendo yako yazungumze. Linda amani yako, na usipoteze nguvu ukijaribu kujithibitisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.