Recent content by Dogoli kinyamkela

  1. Dogoli kinyamkela

    Mume wa mtu kasomesha mdada hadi akamaliza shule. Dada kamaliza Chuo kashapata mtu wake anamkataa

    Alooo wewe umenishinda tabia😂😂 Ila Kuna ukweli bando liwepo ndio uzione au tuseme Cha buré ni za asubui salama😆😆
  2. Dogoli kinyamkela

    Mume wa mtu kasomesha mdada hadi akamaliza shule. Dada kamaliza Chuo kashapata mtu wake anamkataa

    DADA KASOMESHWA NA MUME WA MTU HADI KAMALIZA SHULE. Mume wa mtu kasomesha mdada hadi akamaliza shule. Dada kamaliza Chuo kashapata mtu wake anamkataa mume wa mtu alomsomesha kwa sababu mara nyingi ukisomesha kadada lazima huko chuoni kakutane na mahendisamu wanaojua kuoga na kupaka mafuta...
  3. Dogoli kinyamkela

    KANUNI YA CHANZO NA MATOKEO (THE LAW OF CAUSE & EFFECTS) Kanuni hii ndio huitwa 'karma' na Wahindi

    Sasa umekataa nn alafu umekubali nini🤷🏽‍♂️😂😂
  4. Dogoli kinyamkela

    KANUNI YA CHANZO NA MATOKEO (THE LAW OF CAUSE & EFFECTS) Kanuni hii ndio huitwa 'karma' na Wahindi

    Na kwann utoe kidogo ukiwa uwezo wa kumtoa kikubwa unao? Hii kama shamba ukipanda vizuri ukazingatia shamba lako bas utapata mavuno mengi,kuusu kujua udongo sahihi sikiliza nafsi yako ukiona uyu anafaa kupata msaada mpe,nenda kwenye makambi ya kulea wazee,yatima, hospital na magereza izo ndio...
  5. Dogoli kinyamkela

    KANUNI YA CHANZO NA MATOKEO (THE LAW OF CAUSE & EFFECTS) Kanuni hii ndio huitwa 'karma' na Wahindi

    Wewe unataka uskie ili iweje mkuu,kama Kuna mtu ulimkosea wait zamu yko ifike ndo utajua ipo au haipo
  6. Dogoli kinyamkela

    KANUNI YA CHANZO NA MATOKEO (THE LAW OF CAUSE & EFFECTS) Kanuni hii ndio huitwa 'karma' na Wahindi

    Unajua nn Sheria y kupanda unatakiwa upande mbegu kwenye udongo sahihi😂😂
  7. Dogoli kinyamkela

    KANUNI YA CHANZO NA MATOKEO (THE LAW OF CAUSE & EFFECTS) Kanuni hii ndio huitwa 'karma' na Wahindi

    Wanazid kufanikiwa sawa✅✅ Swali je unajua yanayo pitia!?
Back
Top Bottom