Recent content by Dogoli kinyamkela

  1. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Kifo sio mwisho wa maisha ni ufunguo wa mlango wa kiroho kurudi ulipotoka. Hatupaswi kuogopa kifo

    Taratibu tutaelewana,na nafsi nayo? Mana mwili wako n jumba la nafsi yako kuishi Ili wewe uwe hai,baada ya ilo jumba kuondoka nafsi yako nayo je?
  2. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Kifo sio mwisho wa maisha ni ufunguo wa mlango wa kiroho kurudi ulipotoka. Hatupaswi kuogopa kifo

    Kifo sio mwisho wa maisha ni ufunguo wa mlango wa kiroho kurudi ulipotoka. Hatupaswi kuogopa kifo.
  3. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania hakuna kitu kinaitwa laana,Ona hizi fix.

    Asicho kijua n kwamba wazaz ndio Mungu wa pili apa dunian Sasa yeye mwache alete ujuaji alafu wazaz wafe aje kulia na walimwengu sababu apa dunian si alijileta yeye mwenyewe kashushwa tu kutokea mawinguni.
  4. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Video:- Mama mlokole akamatwa akiwanga Babati

    Kaona arud kwenye tamaduni yake🤣🤣🤣 uko kwingine kunampotezea muda tu😂😂😂 Tawile mama mchawi🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
  5. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Usimlazimishe mtu akuelewe

    🙏🏽
  6. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Habari za Udukuzi.....

    Mbona nilishalitolea utabiri hili jambo mkuu
  7. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Usimlazimishe mtu akuelewe

    Kweli kabisa
  8. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Usimlazimishe mtu akuelewe

    Usimlazimishe mtu akuelewe. Watu sahihi wataona nia yako bila kulazimika kujieleza mara elfu. Sio kila mtu atatafsiri moyo wako kwa usahihi, na si kila mtu anahitaji kupata maelezo ya kila unachofanya. Acha matendo yako yazungumze. Linda amani yako, na usipoteze nguvu ukijaribu kujithibitisha...
  9. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    Anaachaje 😂😂😂
  10. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    Unyama sana
  11. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    Kwa wasio jua kuhusu muhimbili wape nyama kido Wakina nan hao
  12. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    Kwa wasio jua kuhusu muhimbili wape nyama kidogo
  13. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo?

    Mwamba huyu apa Konk Master Hivi kwanini Dudu Baya anapendwa sana na watu hapa Bongo
  14. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Kumbuka: mababu zako wako pale kukuongoza, si kukufanyia maamuzi

    Unajua mana ya ushirikina
Back
Top Bottom