Heshima yangu kwa dk. Slaa ingekua kubwa sana baada ya maelezo yake kuwa Magufuli ufisadi wake ni kidogo kulinganisha na Lowassa.kwa kuwa kuna wagombea Urais wengine wasio na kashfa basi awashauri watanzania wawacchague hao ni siyo Lowassa na Magufuli hapo ningemuona anachukia rushwa na ufisadi...
Ni muda sasa umepita toka sakata la uchotwaji wa pesa za Escrow ulipobainishwa na mbunge aliye maliza muda wake Bw. Kafulila, tukashuhudia malumbano ndani ya Bunge ambayo yalitishia uhai wa uwaziri wa Mh. Pinda na mengi yakasemwa. Kuelekea uchaguzi mkuu tungependa kupata ukweli wa Escrow na...
katika safari ya mabadiliko ni mara chache sana kufika salama wote.Wengine husariti, hufa,huishiwa uvimilivu na hata kwenda kusuasua,tusikate tamaa maana ukombozi unasuruba nyingi na hizi sehemu yake shima CUF.
Ni kweli mkuu New Habari chini ya Bashe imekuja na mapinduzi chanya kwa wafanyakazi, mi ni mmoja wa wanufaika wa hayo usemayo, mtu ahukumiwe kwa haki si kwa majungu
v
hivi vidada njaa ndio inavisumbua vinajitahidi kuweka picha nzuri katika profile zao, ukitaka kujua sio za kwao mwambie muwasiliane FB atumie webcam, skype atazingua tu, kuna kamoja kanaitwa Kwela kamchape kaliniletea hako ka mchezo
Aliyekua Diwani wa kata ya Igoma kwa tiketi ya Chadema Ndugu Adam Chagulani katangaza kugombea Ubunge wa Nyamagana kupitia chama cha ACT - Wazalendo, akitangaza nia yake hiyo katika mkutano wa hadhara uliofanyika kata ya Kishiri Wilaya ya Nyamagana, alitupa tuhuma dhidi ya Wenje ya kua hajawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.