ma dr please mnadhalisha fani,hyo praziquantel what if iki fanya reaction?piahuyu mtu aja sema ameona dalili gani ?huenda dalili hzo zikawa siyo za schistosomiasis.best choice nenda hospital
mh.waziri wa mambo ya udini mila na utamduni jibu hoja kwanza kuhusu kuonekana hirizi mjengoni ya pili kuhusu mh.nanii binti yake nanii hii anaingiliwa uhuru wake wa kiutoto,yani wanamuwahisha kucheza ubaba na mama.majibu tafwadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.