oh karibu mheshimiwa mbunge. Natumai usingizi ulikuwa mzur oops maombi yalikuwa mazur. Tumejadili mambo kadhaa kwa sasa tunawasubiri mawazir waje kujibu maswali
mh.waziri wa mambo ya udini mila na utamduni jibu hoja kwanza kuhusu kuonekana hirizi mjengoni ya pili kuhusu mh.nanii binti yake nanii hii anaingiliwa uhuru wake wa kiutoto,yani wanamuwahisha kucheza ubaba na mama.majibu tafwadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.