Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
mmeanza kupiga kelele?nitawamwagia maji ya moto mkupuke kama kuku wa kichina.ooohoo!Safi Mkuu. Sema kweli japo kuwa unauma.
mmeanza kupiga kelele?nitawamwagia maji ya moto mkupuke kama kuku wa kichina.ooohoo!Safi Mkuu. Sema kweli japo kuwa unauma.
sisi ni watoto na hatujaenda shule, kwa hiyo usitulazimishe kama unatulipa vile.....tafuta vilivyoenda shule na vya kikubwa kwingine...na ukiona inakukera si uipotezee tu.
Wewe vya kwako vya kikubwa ndo vipi? Ndo nyinyi wabadilisha majina mkitafuta umalaika...mna identity kibao, ukiona umechemka unaanzisha nyingine ili kutafuta umungu mtu, hapa jamvini hakuna hata mmoja asiyekosea au kupungua eneo fulani na ndo uanadamu.
kwanza nachukia sana mnaojifanya wakamiliiiiiifu sana humu, kwamba nyinyi ndo watu waziiiiiima, wengine watoto hawajaenda shule ila nyinyi ndo mmeenda shule....wacha nikustahi kwa muda nikapate kwanza nikirudi utanijiju...utanijiju nakwambia.
Haya nimerudi......wewe mbona nakufahamu vizuri tu, una identity kama kumi humu jamvini na una tabia ya kujishukuru mwenyewe, nimeona sana watu kama wewe humu nikashangaa sana, sijui unatafuta nini, eti The following 10 Users say thank you to D5 for this useful post....tongomawe, shibonambi, kungumwamba, tongonyonyo...ah! wapi kumbe wooote ni D5.
Na hii ndo tabia yenu, ukiona kuna Identity inachipukia, unaanza kuwashwa kwenye dust bin hole.
Sikatai Constructive Criticism...lakini demoralizing criticism kwangu nitakula na wewe sahani moja, na huo mchezo wa kijinga wa multi identities nitauanza na mimi kwa ajili ya kushughulikia mash****ga kama wewe.
Inaonekana umekula supu ya mk**du jioni hii(hili ni tusi)....
Kumbe hivi hapa chini ndo vichekesho vilivyoenda shule...maana D5 kajaa humo..!!!!!!! haya bana..I love this country.
https://www.jamiiforums.com/jokes-utani-udaku-gossips/122976-so-simpo-hata-kwa-zero.html
sisi ni watoto na hatujaenda shule, kwa hiyo usitulazimishe kama unatulipa vile.....tafuta vilivyoenda shule na vya kikubwa kwingine...na ukiona inakukera si uipotezee tu.
Wewe vya kwako vya kikubwa ndo vipi? Ndo nyinyi wabadilisha majina mkitafuta umalaika...mna identity kibao, ukiona umechemka unaanzisha nyingine ili kutafuta umungu mtu, hapa jamvini hakuna hata mmoja asiyekosea au kupungua eneo fulani na ndo uanadamu.
kwanza nachukia sana mnaojifanya wakamiliiiiiifu sana humu, kwamba nyinyi ndo watu waziiiiiima, wengine watoto hawajaenda shule ila nyinyi ndo mmeenda shule....wacha nikustahi kwa muda nikapate kwanza nikirudi utanijiju...utanijiju nakwambia.
Ndugu yangu mkuu komedi salamu......
Inakuwaje unapoteza muda na nguvu nyingi namna hii kubishana na mtu ambaye kwa hesabu na busara za kawaida inaonyesha naye alikuwa anafanya matani? Sioni chochote cha kukufanya utoke povu namna hii, badala ya kuendelea na mtiririko mzuri wa thread yako.....Usipoteze siku zako za kuishi kwa kubishana na kumtukana mtu ambaye hata humfahamu........na kutukana siku zote si busara wala sifa kwa yeyote waye yule.... vuta pumzi!:bored:
Haya nimerudi......wewe mbona nakufahamu vizuri tu, una identity kama kumi humu jamvini na una tabia ya kujishukuru mwenyewe, nimeona sana watu kama wewe humu nikashangaa sana, sijui unatafuta nini, eti The following 10 Users say thank you to D5 for this useful post....tongomawe, shibonambi, kungumwamba, tongonyonyo...ah! wapi kumbe wooote ni D5.
Na hii ndo tabia yenu, ukiona kuna Identity inachipukia, unaanza kuwashwa kwenye dust bin hole.
Sikatai Constructive Criticism...lakini demoralizing criticism kwangu nitakula na wewe sahani moja, na huo mchezo wa kijinga wa multi identities nitauanza na mimi kwa ajili ya kushughulikia mash****ga kama wewe.
Inaonekana umekula supu ya mk**du jioni hii(hili ni tusi)....
Bufee ya leo itakuwa murua...yule dada mtengeneza sambusa za pipi kifua amesema atatutengenezea keki ya mlenda kwa ajili ya desert.
mimi hupenda kula mishkaki ya konokono na chura pia hunywa cocktail juisi ya bamia na nyanyachungu!