hii imetokana baada ya kusomwa rasimu ya sitta na chenge,mambo yote 28 yaliyoachwa kutoka kwenye katiba ya warioba ndiyo yaliyokua yakisemwa na J.K wakat akizindua bunge la katiba,sasa najiuliza inamaana hofu iliokua ikielezwa na mkulu basi wabunge wote wameifuata na kufuta mambo muhimu sisi...
nimeona thread zako nying lazma uanze na Lowasa mida flani umekuja unadai katoa laki2 kwa wajumbe,tuna mambo mengi ya kufanya hebu achana na siasa za maji taka,au umeahidiwa u-DC na hao wanaokutumia,bado hatujamaliza mambo ya katba we unataka kututoa kwenye agenda kwa ulafi wako wa kuzawadiwa cheo
kumekuwapo na njia mbali mbali za kubashiri jinsia ya mtoto alieko ndani ya tumbo la mama mjamzito,baadhi wamekua wakisema eti mimba ikisumbua sana(mjamzito kupata shida mara kwa mara) ujue ni mtoto wa kike, Wengine mjamzito akimchukia mumewe ujue hiyo mimba ni ya mtoto wa kike na mengine mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.