Ndg Edward Lowasa mwenye kutamani urais kila uchao amezidi kukumbwa na jinamizi linalovujisha siri zake kila uchao.
Jana kuna vikao vimefanyika Dodoma na Arusha vikao vyote vimeazimia kumhusisha Lowasa na Rais kikwete kwamba hawakukutana barabarani.
Maazimio yalikuwa kuwa
Itengenezwe kauli mbiu mpya ya " simama uhesabiwe,hakatwi mtu hapa"
Kauli hiyo kwenye kikao ametolewa na Lowasa mwenyewe.
Hayo pia yamefanyika Arusha Hotel ya Mountain Meru.
Pamoja na hayo kundi hili wamelenga kuwaaminisha Wananchi kuwa Lowassa hukutana na Mhe. Rais mara nyingi ili amuachie urais.
Kila kukicha kabla ya siri za Lowasa hazijamaliza masaa 3 zijavuja.
we dada acha umbea. source ya taarifa yako ni nini, tutaamini vipi juu ya hayo uyasemayo, kubwa kuliko yote yatatusaidia nini sisi ili hali hiyo ni mikakati ambayo mtu yoyote anaweza kuwa nayo pindi anapohitaji kufikia malengo yake flani.
nipm namba yako nikurushie m pesa maana unaeonesha una njaa sana na kwa kua huna kazi ya kufanya, ukilala na kuamka unamuwaza EL mbona huandiki mikakati ya ndugu zako tena unaowafaham kwa ukaribu badala yake unajaribu kuotea mikakati ya EL.
huna jeuli hata kidogo ya kumharibia wala kumfanikisha EL, Tulia fanya mishe zako upate tonge sio umbea unaoletq hapa kila siku.