Zipo mtaa wa Kipata na Swahili pale ni USD 2,000+ wauza hardware na wenye maduka ya dawa ni kuanzia mil 4 kwenda juu.
Btw kodi ya milioni 5 inalipika ina maana kama utafungua duka siku 25 kwenye mwezi mmoja,
5,000,0000÷25days= 200,000 kwa siku
So kwa siku lazima upate profit ya kuanzia laki 2...
Sheria za Maliasili zinatoa kibali kuwinda mamba mwenye kimo cha zaidi ya mita 3, so kama amezidi hapo mzungu hana kosa na kama ana kibali cha uwindaji na usafirishaji wa nyara kimataifa CITES ambacho kinahusisha viumbe walio hatarini kupotea (Convention on International Trade in Endangered...
Epuka kuendelea na mwandiko wako wa kuweka x badala ya s,
xana(sana),
lakin(lakini)
sielew(sielewi)
Course ya CO itumike kama daraja to MD, ajira hazijawahi kukosekana.
Ila pia kama unaweza kusoma course za Engineering (Civil, Architec) zina wigo mpana pia kwenye kuingiza kipato
Nachoona hapa pia mbona bidhaa hiyo moja ushaanza kuchukua kodi yake bandarini bado ikifika dukani uchukue tena, kama umemuuzia mtu wa mkoani naye kule analipia tena kodi, mlaji ambaye ni yule mtu wa mwisho anaipata kwa gharama kubwa sana inakua hajasaidiwa ila kama anakomolewa. Mfumuko wa bei...
https://tricycle.org/article/homosexuality-marriage-and-religion-tibet-endlessly-complicated-situation/
Hawa jamaa tangu 2009 wamekua hivi?
Kwa sasa watakua mbali sana idadi ya LGBTQ itakua imeshoot sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.