Recent content by dkitafwimba

  1. D

    CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba

    Tatizo ni ukibaraka na kutamani kuonwa na wakubwa ili apewe vyeo.
  2. D

    Yaliyojiri Ubungo Plaza kwenye Kongamano la iliyokua Tume ya Kukusanya Maoni ya Jaji Warioba

    Kama amebinywa koridani safi sana.macho je wameyaondoa au yamesahahulika?
  3. D

    CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba

    Kama kweli makonda kafanya hivo ni aibu kwake na wazazi waliomlea.umri wa warioba kupigwa na makonda ni laana.kama ccm ina faida kwake asilazimishe wengine wapende mawazo yao yasiyo na faida kwao.pole sana mzee warioba.hii ndiyo tz ya jk wa pili na siyo tz ya jk wa kwanza.
  4. D

    CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba

    Hii ndiyo tz.watu wanaangalia maslahi yao kwa kivuli cha nchi.warioba asikatishwe tamaa bali apate nguvu zaidi za kuelimisha wa tz.
  5. D

    BAVICHA Taifa kuwasha moto kuanzia Jumatatu kanda ya Kati na kanda ya Magharibi

    Kama ccm wataondoka madarakani nitafanya sherehe maskani.ila bado napata wacwac na hilo kwani vijana wengi hua hawajiandikishi wala kuoiga kura.elimu ipite kwa vijana.ccm tayari wamelegea wanasubiri kutekenywa waachie.
  6. D

    Ligi Kuu Vodacom, Raundi ya VI

    Hawa wazee wa droo noma.walianza chemka wwlivomtimua mzee kibadeni.alianza vizuri kuiandaa timu ya msimu huu wao wakawa na haraka.sasa wameanza kusimamisha wachezaji,wakimaliza wanawasimamisha viongozi wanachama wanaanza panga timu.poleni simba wenzangu.
  7. D

    Member gani wa JF ushakutana nae Face 2 Face

    mi hata mmoja cjawahi.huku tukuyu cfahamu namna ya kuwapata.
  8. D

    Lowassa Atoshaa: Wajumbe wa NEC YA CCM Wanena

    Siasa ni mchezo mchafu sana.akili yako ndiyo siraha yako.
  9. D

    Nape akutwa na majanga Iringa

    Angevunkika hata mgongo kuliko kuteguka kamkono
  10. D

    Taifa Stars itafungwa goli 4-1, Mart Nooij atatupiwa virago

    Staz hongera sana.kila mechi wakiwa wacheza hivi na kushinda namna hii ningewapenda zaidi.bado simba wangu nao kufufuka jmoc ijayo.
  11. D

    Rais Kikwete ni extra ordinary

    Hongera sana.
  12. D

    Hizi ni sababu tosha kwamba katiba inayopendekezwa ni 'feki' na haiwezi kupita!

    Poleni watz.katiba kama imepita bungeni,kwa wananchi itapita pia.jamaa wakisha wapa mama zetu vitenge na vijana kofia wanaipitisha bila zengwe.muhimu tafuta maisha na c kutegemea ccm na ukawa kukuletea maendeleo wakati nao wanawatoto wanaowaangalia.
Back
Top Bottom